engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Wana JF inasemekana kuna mgomo wa Daladala yaani yale magari yanayotumika kusafirishia abiria ndani ya Manispaa ya morogoro,mgomo huo ni wa siku mbili
kwa aliye morogoro anaweza kutujuza nini chanzo ama sababu za mgomo huo?
kwa aliye morogoro anaweza kutujuza nini chanzo ama sababu za mgomo huo?