City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 3,792
- 4,239
Mgomo wa daladala unatarajiwa kufanyika jijini Mwanza tarehe 11.03.2024. Chanzo ni uwepo wa bajaji zinazobeba abiria kutumia route moja na Daladala.
Nilifanikiwa kupata kipeperushi cha kuhimiza mgomo ambacho kila gari imelipia shilingi 1,000 kupata hicho kipeperushi kisha namba za usajili wa gari kuandikwa katika daftari.
LATRA tafuteni suluhu ya hili.
Nilifanikiwa kupata kipeperushi cha kuhimiza mgomo ambacho kila gari imelipia shilingi 1,000 kupata hicho kipeperushi kisha namba za usajili wa gari kuandikwa katika daftari.
LATRA tafuteni suluhu ya hili.