Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,276
- 6,585
Wana bodii
husika na kichwa cha habari hapo juu ,
Leo asubuhi uongozi wa serikali ya wanafunzi udom(UDOSO) college of informatics and visual education(CIVE) imewatangazia wanafunzi wote wa cive kutoenda kula chakula cha cafeteria kutokana na ubovu wa chakula chao ambapo kimepelekea wanafunzi kuumwa tumbo.
uongozi wa udoso umesisitiza kutotumia chakula cha cafeteria mpaka hapo watakapotujulisha.
husika na kichwa cha habari hapo juu ,
Leo asubuhi uongozi wa serikali ya wanafunzi udom(UDOSO) college of informatics and visual education(CIVE) imewatangazia wanafunzi wote wa cive kutoenda kula chakula cha cafeteria kutokana na ubovu wa chakula chao ambapo kimepelekea wanafunzi kuumwa tumbo.
uongozi wa udoso umesisitiza kutotumia chakula cha cafeteria mpaka hapo watakapotujulisha.