mwenyenchi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 657
- 185
Haahaahaaa! chezea baba Riz1 weye?!
Nani alisema ni dhaifu? amuulize mama Riz1, Uli na nanii aliyenanii kule Nyilolo (sorry)
Hakuna serikali dhaifu duniani. Serikali siku zote INAJUA imeshika mpini bahati mbaya sana sisi mafala HATUJUI tumeshika makali
Na mbwembwe zote zile?! poleni sana madaktari
Adui yako mwombee njaa..
Nani alisema ni dhaifu? amuulize mama Riz1, Uli na nanii aliyenanii kule Nyilolo (sorry)
Hakuna serikali dhaifu duniani. Serikali siku zote INAJUA imeshika mpini bahati mbaya sana sisi mafala HATUJUI tumeshika makali
Na mbwembwe zote zile?! poleni sana madaktari
Adui yako mwombee njaa..