Mgombea urais na elimu yenye mashaka

Hatimaye wasomi mbalimbali wameziji kujitokeza wakiwa na mashaka na uwezo wa elimu ya mgombea urais kupitia Ukawa kutokana na namna asivyoweza kujenga hoja, kutokuwa na kumbukumbu ya kile anachozungumza na kuna wakati akiulizwa alichozungumza amekuwa hana kumbukumbuku kabisa. Hali hiyo imezidi kutia mashaka wasomi wengi na vijana mbalimbali ambao wamekuwa wakifatilia mchakato mzima wa kampeni. Hi ni hatari kwa taifa kupata rais ambaye hana kumbukumbu.

Aidha wamezidi kutilia shaka juu ya elimu aliyopata chuo kikuu, au ndo wale waliokuwa wakigoma kila kukicha pasipo kutilia mkazo masomo zaidi. Katika hili kuna tatizo ni vema tukaweka kando itikadi na kutanguliza mbele maslahi mapana ya Taifa.

Ilipo tiwa mimba yako baba yako alikuwa na mashaka .sembuse Leo ni mtoto wake wakutumainiwa ingawa kwa kubaki ccm mpaka muda huu.ameanza kurudisha mashaka juu yako..jina naifadhi kwa sasa .ukiendelea nitalitaja .
 
Nakufahamisha mleta mada kuwa Mzee Lowassa hakusoma shule za kata.Acha kabisa kumlinganisha huyo mzee kielimu na
wagombea wengine.Hata hivo hujasikia yule albino kanda ya ziwa jana aliponea chupuchupu kunyongwa na kamba?
Kuamini ushirikina ni mojawapo ya dalili za ukosefu wa Elimu
 
Hatimaye wasomi mbalimbali wameziji kujitokeza wakiwa na mashaka na uwezo wa elimu ya mgombea urais kupitia Ukawa kutokana na namna asivyoweza kujenga hoja, kutokuwa na kumbukumbu ya kile anachozungumza na kuna wakati akiulizwa alichozungumza amekuwa hana kumbukumbuku kabisa. Hali hiyo imezidi kutia mashaka wasomi wengi na vijana mbalimbali ambao wamekuwa wakifatilia mchakato mzima wa kampeni. Hi ni hatari kwa taifa kupata rais ambaye hana kumbukumbu.

Aidha wamezidi kutilia shaka juu ya elimu aliyopata chuo kikuu, au ndo wale waliokuwa wakigoma kila kukicha pasipo kutilia mkazo masomo zaidi. Katika hili kuna tatizo ni vema tukaweka kando itikadi na kutanguliza mbele maslahi mapana ya Taifa.

Sina wasiwasi yawezekana haya utakua umeandikiwa na Bulembo.
 
Kwa nn mnapenda kuwalisha maneno watz.Mtu aongee kivyake sio kuwafanyia maamuzi watz.Kila mtz anajua chaguo lake.Si hizo propaganda zenu kuwa zinaweza saidia lolote.acheni tabia ya kuwalisha maneno watz.Watz sio mbumbumbu kama mnavyofikiria.
 
Hatimaye wasomi mbalimbali wameziji kujitokeza wakiwa na mashaka na uwezo wa elimu ya mgombea urais kupitia Ukawa kutokana na namna asivyoweza kujenga hoja, kutokuwa na kumbukumbu ya kile anachozungumza na kuna wakati akiulizwa alichozungumza amekuwa hana kumbukumbuku kabisa. Hali hiyo imezidi kutia mashaka wasomi wengi na vijana mbalimbali ambao wamekuwa wakifatilia mchakato mzima wa kampeni. Hi ni hatari kwa taifa kupata rais ambaye hana kumbukumbu.

Aidha wamezidi kutilia shaka juu ya elimu aliyopata chuo kikuu, au ndo wale waliokuwa wakigoma kila kukicha pasipo kutilia mkazo masomo zaidi. Katika hili kuna tatizo ni vema tukaweka kando itikadi na kutanguliza mbele maslahi mapana ya Taifa.

Nina mashaka na elimu ya Makufuli etii Saddam rais Wa wapiiii?
 
Nahisi kwa walioenda shule watakubaliana na mimi, kama kapata elimu stahiki asingekuwa na uwezo dhaifu kama hivo huyo mzee wenu.


Nakubaliana nawe ya kwamba inawezeka kabisa kwa walioenda shule kukubaliana na hio hoja yako lakini sidhani kama wale walioelimika watakubaliana nawe. Ni kichefuchefu kumchagua Magufuli awe raisi wa nchi hii . Magufuli ni RAHISI mno na hawezi kuwa Rais
 
Hatimaye wasomi mbalimbali wameziji kujitokeza wakiwa na mashaka na uwezo wa elimu ya mgombea urais kupitia Ukawa kutokana na namna asivyoweza kujenga hoja, kutokuwa na kumbukumbu ya kile anachozungumza na kuna wakati akiulizwa alichozungumza amekuwa hana kumbukumbuku kabisa. Hali hiyo imezidi kutia mashaka wasomi wengi na vijana mbalimbali ambao wamekuwa wakifatilia mchakato mzima wa kampeni. Hi ni hatari kwa taifa kupata rais ambaye hana kumbukumbu.

Aidha wamezidi kutilia shaka juu ya elimu aliyopata chuo kikuu, au ndo wale waliokuwa wakigoma kila kukicha pasipo kutilia mkazo masomo zaidi. Katika hili kuna tatizo ni vema tukaweka kando itikadi na kutanguliza mbele maslahi mapana ya Taifa.

Elimu yako mashaka sana. Cc tutamchagus hata akiwa la nne au akiwa kwenye machela. Miaka 54 CCM wameturudisha nyuma kiuchumi.
 
Nakushangaa sana kuanza kumuwekea mashaka hivi leo, huyu EDO ni pumba tupu, hafai kwa ugali wala uji
 
Hatimaye wasomi mbalimbali wameziji kujitokeza wakiwa na mashaka na uwezo wa elimu ya mgombea urais kupitia Ukawa kutokana na namna asivyoweza kujenga hoja, kutokuwa na kumbukumbu ya kile anachozungumza na kuna wakati akiulizwa alichozungumza amekuwa hana kumbukumbuku kabisa. Hali hiyo imezidi kutia mashaka wasomi wengi na vijana mbalimbali ambao wamekuwa wakifatilia mchakato mzima wa kampeni. Hi ni hatari kwa taifa kupata rais ambaye hana kumbukumbu.

Aidha wamezidi kutilia shaka juu ya elimu aliyopata chuo kikuu, au ndo wale waliokuwa wakigoma kila kukicha pasipo kutilia mkazo masomo zaidi. Katika hili kuna tatizo ni vema tukaweka kando itikadi na kutanguliza mbele maslahi mapana ya Taifa.

tehe tehe tehe! na wewe ni miongoni mwa hao wasomi!?
 
Back
Top Bottom