Mgombea urais na elimu yenye mashaka

Mgombea urais na elimu yenye mashaka

Mgombea hawezi kujenga hoja atatuwakilisha vipi nchi za nje, acheni ushabiki.

Kumbe unacho hitaji ni kuwa kilishwa nchi za nje. Akili zako na za hao wasomi unao wazungumzia hapa ni mbovu kuliko hata za Magufuli mwenyewe. Unachowaza ni nje ya nchi tu. Ulistahili kuishi kwa Mugabe ili unyooshwe akili. Kamuulize Kikwete kama akiendaga kuomba msaada nje ya nchi anazungumza kutoka kichwani mwake au anakuwa kaandaliwa chakuzungumza.
 
CCM ina hali mbaya sana,hivi 1.Taarifa ya CNN kuhusu afya ya JPM imetolewa ufafanuzi? 2.Babu wa Loliondo alikuwa anatibu magonjwa gani vile?.3.Mgombea anayekiwalisha chama anapotoa shutuma kwa Viongozi wa chama na Serikali anakuwa amepoteza kumbukumbu ama anatafuta kick?....LOWASSA ANATOSHA!!
 
Nje ya nchi mabalozi wapo wanadiplomasia cdm.wapo.wengi.tu wa kumwandalia speech usihofu
 
Magufuli amesoma elimu anayo sio msanii na hajasomea sanaa hvyo tunaimani nae juu ya elimu yetu ataiboresha vizuri sina mascara nae
 
Hatimaye wasomi mbalimbali wameziji kujitokeza wakiwa na mashaka na uwezo wa elimu ya mgombea urais kupitia Ukawa kutokana na namna asivyoweza kujenga hoja, kutokuwa na kumbukumbu ya kile anachozungumza na kuna wakati akiulizwa alichozungumza amekuwa hana kumbukumbuku kabisa. Hali hiyo imezidi kutia mashaka wasomi wengi na vijana mbalimbali ambao wamekuwa wakifatilia mchakato mzima wa kampeni. Hi ni hatari kwa taifa kupata rais ambaye hana kumbukumbu.


Aidha wamezidi kutilia shaka juu ya elimu aliyopata chuo kikuu, au ndo wale waliokuwa wakigoma kila kukicha pasipo kutilia mkazo masomo zaidi. Katika hili kuna tatizo ni vema tukaweka kando itikadi na kutanguliza mbele maslahi mapana ya Taifa.

tuzungumze hoja tuache siasa nyepesi. kumbuka waongeaji wengi sio watendaji na hiki ndicho kimetuponza watz kuchagua wapiga domo badala ya wachapakazi. mm nashauri tuwape fursa wagombea wote kisha tuwaachie wananchi waamue tusianze kuwalisha maneno. naamini tungewaita mmoja mmoja na kuwauliza wangetoa majibu tofauti na yako
 
Mbona Magufuli hajui kiswahili,kingereza ndio hajui kabisa,atatuwakilishaje nje ya nchi?
 
Bora umelisema hilo,mhimu hatuna nchi ya kutoa sadaka kwa kura za bora liende,mgombea wa ukawa,hawezi kujieleza,na hilo la kumbukumbu pia,hapana hebu tuwe serious kidogo tu
 
Hata kama hajasoma huyo huyo ndo chaguo la wengi 👏👏👏👏👏👏✌✌✌✌✌✌✌✌
 
Hatimaye wasomi mbalimbali wameziji kujitokeza wakiwa na mashaka na uwezo wa elimu ya mgombea urais kupitia Ukawa kutokana na namna asivyoweza kujenga hoja, kutokuwa na kumbukumbu ya kile anachozungumza na kuna wakati akiulizwa alichozungumza amekuwa hana kumbukumbuku kabisa. Hali hiyo imezidi kutia mashaka wasomi wengi na vijana mbalimbali ambao wamekuwa wakifatilia mchakato mzima wa kampeni. Hi ni hatari kwa taifa kupata rais ambaye hana kumbukumbu.

Aidha wamezidi kutilia shaka juu ya elimu aliyopata chuo kikuu, au ndo wale waliokuwa wakigoma kila kukicha pasipo kutilia mkazo masomo zaidi. Katika hili kuna tatizo ni vema tukaweka kando itikadi na kutanguliza mbele maslahi mapana ya Taifa.

Tunachotaka sie si elimu ya mgombea bali MABADILIKO. Kura kwa Lowassa
 
Afadhali ya Lowassa masters yke amesoma nje ya nchi,ila Pombe kuanzia std 1 to Phd level ni Tz,hata kenya hapajui.

Aliyekwambia elimu ya nje ina msaada kwa watanzania ni nani? angalia nchi zilizoendelea jinsi wanavyothamini elimu na vyuo vyao na wanafanya kazi usiku na mchana kujenga nchi yao. Kwa hiyo ungetathmini tufanyaje kuboresha elimu yetu na sio kupoteza fedha za kigeni kupeleka watanzania kusoma nje
 
Kama ni elimu, we mtoa mada si unayo! Mbona hujagombea????


Lowassa kawatekenya kunako that's why mnamwandama kila kukicha.

Watanzania wamekataa ujinga ujinga wa kudanganywa that's why wanamtaka Lowassa kwa udi na uvumba.
 
Hatimaye wasomi mbalimbali wameziji kujitokeza wakiwa na mashaka na uwezo wa elimu ya mgombea urais kupitia Ukawa kutokana na namna asivyoweza kujenga hoja, kutokuwa na kumbukumbu ya kile anachozungumza na kuna wakati akiulizwa alichozungumza amekuwa hana kumbukumbuku kabisa. Hali hiyo imezidi kutia mashaka wasomi wengi na vijana mbalimbali ambao wamekuwa wakifatilia mchakato mzima wa kampeni. Hi ni hatari kwa taifa kupata rais ambaye hana kumbukumbu.

Aidha wamezidi kutilia shaka juu ya elimu aliyopata chuo kikuu, au ndo wale waliokuwa wakigoma kila kukicha pasipo kutilia mkazo masomo zaidi. Katika hili kuna tatizo ni vema tukaweka kando itikadi na kutanguliza mbele maslahi mapana ya Taifa.

Jivue gamba
 
Aliyekwambia elimu ya nje ina msaada kwa watanzania ni nani? angalia nchi zilizoendelea jinsi wanavyothamini elimu na vyuo vyao na wanafanya kazi usiku na mchana kujenga nchi yao. Kwa hiyo ungetathmini tufanyaje kuboresha elimu yetu na sio kupoteza fedha za kigeni kupeleka watanzania kusoma nje

Mpaka ccm iondoke ndo elimu na hospitals zitaboreshwa vinginevyo ndoto za mchana.

Sitaki kuisikia ccm kabisa
 
Hatimaye wasomi mbalimbali wameziji kujitokeza wakiwa na mashaka na uwezo wa elimu ya mgombea urais kupitia Ukawa kutokana na namna asivyoweza kujenga hoja, kutokuwa na kumbukumbu ya kile anachozungumza na kuna wakati akiulizwa alichozungumza amekuwa hana kumbukumbuku kabisa. Hali hiyo imezidi kutia mashaka wasomi wengi na vijana mbalimbali ambao wamekuwa wakifatilia mchakato mzima wa kampeni. Hi ni hatari kwa taifa kupata rais ambaye hana kumbukumbu.

Aidha wamezidi kutilia shaka juu ya elimu aliyopata chuo kikuu, au ndo wale waliokuwa wakigoma kila kukicha pasipo kutilia mkazo masomo zaidi. Katika hili kuna tatizo ni vema tukaweka kando itikadi na kutanguliza mbele maslahi mapana ya Taifa.

Huyo Mangufuli ata hajui Saddam alikuwa rais wa nchi ngapi?ndo atajua mambo ya kimataifa.

Saddam alikuwa na mtu wa pili dunia kwa kutajwa kwenye media za dunia lakin mangufuli anashindwa kumtofautisha
 
Back
Top Bottom