mfungwa
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 1,294
- 345
kwanini mnaache kuchangia hoja na kutoa point za ushawishi tukawaelewa, badala yake mnakimbilia kusema vita,amani vita Amani. Inakuwa kama vya upinzani ni kama rebels hawapo kisheria. Mlio kwenda shule jamani jaribuni kuelimisha wengine badala ya kuendekeza maneno ya wanasiasa njaa, ambao wanasema kuchagua upinzani wataleta vita. Siyo kweli. Chama tawala kina vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Kama ni kuvunja Amani na kuanza vita basi ni yule aliye na vyombo ndiye atasababisha haya. Natuelimishe watu umhimu wa vyama vingi kwa manufaa ya taifa. vitisho vya kuvunjika Amani viachwe na vyombo vya dola vifanye kazi yake
Kubali ufungue macho na uone hao unao wa support. Hadi ufumbuliwe wewe huwezi kuona hata kila mara wananani pembeni. "Open your eyes ", "spalancantism ", fungua macho. Efata. Wengine hadi waambiwe hapo pabaya huwezi kuona mwenyewe bwana! !. Haya homework hiyo.