Wa Kwilondo
JF-Expert Member
- Sep 15, 2007
- 1,081
- 312
Ni bw. Msoffe aliyepigwa jana jioni wakati akizuia wamama wasiporwe bidhaa zao. Jana alilala polisi bila dhamana na leo wakampeleka mahakamani ila hakuweza hata kusimama. Akaandikiwa aende Mt Meru Hospital, police wakakataa Mbowe akafanikisha. Pray 4 him
Mkuu si kweli Kamanda yuko poa tu, Nimetoka kuongea naye muda si mrefu