Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Rama na tumbotumbo lake kampigaje huyo mgombea? Huyu mchumia tumbo kapiga hela za campaign 2010 akahamisha na ofisi yake na saluni pale uvccm kapeleka kaloleni pia kafungua kahotel hapo Mrina huyu jamaa namjua fika ni mzembemzembe sa cjui kampigaje jamaa au alitumia silaha? Ka vp atangaziwe fatwa uone ka hajahama ngalelooo! LA SiVYO atajisifu sana...
itakuwa walikuwa wengi maana akiwa anatangaza huwa kuna gari la ffu nyuma..