Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge Sumbawanga kuomba kura za Ubunge kwa kutaja miradi ya Ubungo Interchange, flyover za Dar na ukuta wa Mererani

Ukijiuliza Ubungo Interchange na Sumbawanga wapi na wapi. Yaani wakupe kura kwa sababu ya flyover za Dar. Hivi wabunge wa CCM wanajielewa kweli?

Mgombea anajikakamua kweli kweli kuhusu ndege Rais alizonunua na jimbo lake wapi na wapi? Wagombea ubunge wameshindwa wengi wao kujipambanua wao kama wao kwanini achaguliwe tena?

Mgombea anaomba kura kwa kuaambia nipeni kura nikaungane na Magufuli tukanunue ndege zingine. Wakati huo wananchi hawana maji, halo zao ni mbaya kweli.

Sio mantiki ya kuwachagua wambuge wa CCM.

Naona CCM imechoka hoi ipo taabani kweli, mgombea wa juu, kachoka, wabunge wamechoka, madiwani ndo usiseme. Kazi kwenu wananchi.
Aeshi mbunge alikuwa school mate wangu mazwi alifukuzwa shule hana akili hoja za dar anapeleka swax
 
Dodoma ni makao makuu ya Nchi punguza dharau
Brother Dodoma ni Mjini tu pale tena baada ya Mchanganyiko wa wa wageni wafanyakazi wa Serikali; Ila Dodoma watu wake hawana exposure believe me; Nenda Mpwapwa, Bahi, Kondoa, Mtera, Kongwa, Buigiri, Chamwino Mzee utafahamu wale watu exposure yao ni Ndogo.

Hivyo kuwa Makao makuu ya nchi haiondoi exposure ya wenyeji kuwa ndogo
 
Ukijiuliza Ubungo Interchange na Sumbawanga wapi na wapi. Yaani wakupe kura kwa sababu ya flyover za Dar. Hivi wabunge wa CCM wanajielewa kweli?

Mgombea anajikakamua kweli kweli kuhusu ndege Rais alizonunua na jimbo lake wapi na wapi? Wagombea ubunge wameshindwa wengi wao kujipambanua wao kama wao kwanini achaguliwe tena?
Haya matatizo yanaenda mbali zaidi mpaka kwenye mfumo wetu wa kiuongozi na njia za kupika viongozi wetu. Kuna viji-propaganda vingi tu tena visivyo na kichwa wala miguu eti flyovers, eti madaraja, kwani hatulipi kodi ? kuna duka kwamba serikali inaenda kuchukua pesa za kujengea hospitali ? CCM wajue tunakamuliwa kodi mpka kwenye viosk vyetu huku mitaani. Waache ujinga kabisa. Tena huyo anayetaja ma-flyovers na madaraja angekuwa jimboni kwangu angepata tabu sana kwa matusi ambayo angetukanwa na vijana wetu
 
Brother Dodoma ni Mjini tu pale tena baada ya Mchanganyiko wa wa wageni wafanyakazi wa Serikali; Ila Dodoma watu wake hawana exposure believe me; Nenda Mpwapwa, Bahi, Kondoa, Mtera, Kongwa, Buigiri, Chamwino Mzee utafahamu wale watu exposure yao ni Ndogo.

Hivyo kuwa Makao makuu ya nchi haiondoi exposure ya wenyeji kuwa ndogo
Na ungempa maelezo ya ziada kwamba kushinda umaskini na umajinuni wa kimaendeleo Dodoma ni lazima kuchanganyikane na wageni na uwekezaji wa sekta binafsi zaidi
 
Kuna uwanja wa kimataifa unajengwa sumbawanga mwaka huu wa fedha yuko sahihi kuongelea ndege pia kuna soko la kimataifa linajengwa sumbawanga la mazao na madini ndege muhimu

Mazao mengi kutoka sumbawanga soko lake kuu liko dar es salaam kaulize madereva wa malori foleni waliyokuwa wakikutana nayo kabla ya flyover wakitumia mafuta mengi mno wakiingia dar au kutoka dar kwenda sumbawanga
Sio kweli kuwa mazao mengi toka swanga soko lake lipo dar. Mazao makubwa toka swanga Ni mahindi na maharage na soko lao kubwa Ni nchi ya Kongo ndo Mana mipaka ikifungwa Bei ya mazao yao inaporomoka Kama Sasa ivi.
 
Hakuna kitu bado uko nyuma sana
Safi kabisa Sumbawanga ni CCM. Je sumbawanga imeendelea? Maana vijembe nireteeeeeeeeeeeniiiiiiiiiiiiiiiiii CCM msipo nireteeeeeeeeeeeaaa msinilaum vimezidi.
Je huko mbona ni CCM tu lkn mbona bila bila??!!!
 
Ukijiuliza Ubungo Interchange na Sumbawanga wapi na wapi. Yaani wakupe kura kwa sababu ya flyover za Dar. Hivi wabunge wa CCM wanajielewa kweli?

Mgombea anajikakamua kweli kweli kuhusu ndege Rais alizonunua na jimbo lake wapi na wapi? Wagombea ubunge wameshindwa wengi wao kujipambanua wao kama wao kwanini achaguliwe tena?

Mgombea anaomba kura kwa kuaambia nipeni kura nikaungane na Magufuli tukanunue ndege zingine. Wakati huo Wananchi hawana maji, halo zao ni mbaya kweli.

Sio mantiki ya kuwachagua wambuge wa CCM.

Naona CCM imechoka hoi ipo taabani kweli, mgombea wa juu, kachoka, wabunge wamechoka, madiwani ndo usiseme. Kazi kwenu wananchi.
Haya matutusa ya CCM hayana sera hata kidogo; ushindi wao wanatumia mabavu kwa kushirikiana na poliCCM waliolaaniwa na ambao watakufa wakiwa wamechomeka index finger kwenye ass zao!
 
Huyo hafai kupewa kura hata moja!

Ndio maana mkoa huo unakuwa nyuma kimaendeleo sababu viongozi wake wanashabikia maendeleo ya mikoa mingine badala ya kuyapeleka maendeleo hayo mkoani hapo!

Hata hivyo, taarifa kutoka huko zinasema wanaRukwa walishaikataa CCM toka mwaka 2010, lakini huko ndiko udanganyifu mkubwa wa kuchakachua matokeo hufanyika na sababu kubwa ni kutokana na mwamko mdogo wa wananchi wa mkoa huo kutumia vyombo vya habari kupaza sauti zao.

Hawana utamaduni huo wa kudai haki kupitia vyombo vya habari ndo sababu hata haki zinapominywa mambo yanaishia chini kwa chini lakini kiukweli mkoa huo kwa sasa ni sehemu ya mikoa ambayo inaunga mkono sana upinzani!
Exactly mkuu,ni kwelii
 
Back
Top Bottom