kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 512
Ukijiuliza Ubungo Interchange na Sumbawanga wapi na wapi. Yaani wakupe kura kwa sababu ya flyover za Dar. Hivi wabunge wa CCM wanajielewa kweli?
Mgombea anajikakamua kweli kweli kuhusu ndege Rais alizonunua na jimbo lake wapi na wapi? Wagombea ubunge wameshindwa wengi wao kujipambanua wao kama wao kwanini achaguliwe tena?
Mgombea anaomba kura kwa kuaambia nipeni kura nikaungane na Magufuli tukanunue ndege zingine. Wakati huo Wananchi hawana maji, halo zao ni mbaya kweli.
Sio mantiki ya kuwachagua wambuge wa CCM.
Naona CCM imechoka hoi ipo taabani kweli, mgombea wa juu, kachoka, wabunge wamechoka, madiwani ndo usiseme. Kazi kwenu wananchi.
Mgombea anajikakamua kweli kweli kuhusu ndege Rais alizonunua na jimbo lake wapi na wapi? Wagombea ubunge wameshindwa wengi wao kujipambanua wao kama wao kwanini achaguliwe tena?
Mgombea anaomba kura kwa kuaambia nipeni kura nikaungane na Magufuli tukanunue ndege zingine. Wakati huo Wananchi hawana maji, halo zao ni mbaya kweli.
Sio mantiki ya kuwachagua wambuge wa CCM.
Naona CCM imechoka hoi ipo taabani kweli, mgombea wa juu, kachoka, wabunge wamechoka, madiwani ndo usiseme. Kazi kwenu wananchi.