elimukwanza
Senior Member
- Dec 27, 2010
- 168
- 23
Wadau kuna habari nimeipata jana kutoka kwenye mkutano wa CDM wilayani bunda kuwa aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la bunda kupitia CDM Ndg Elias Kajeli Maarugu amefukuzwa na wafuasi wenye hasira katika mkutano wa CDM kwa kile kinachodaiwa kuwa aliuza jimbo kwa mh Wasira katika uchaguzi mkuu 2010.kama kuna mdau aliyekuwepo atujuze zaidi nini kilitokea zaidi ya hapo.