Mgombea mwenza kurejea CUF

Nadhani Duni akirudi kwao na viongozi wengine nao itabidi warudi kwao pia. Mbatia, Makaidi. Tuachieni tuitengeneze chadema asilia yetu. Sijui kama zama zile zitarudi tena walahi!

Kazi mtakuwa nayo
 
MODS... sijui kwann wamekuwa very lazy these days kiasi hiki...!!!

Huu upuuzi ni wa kufutwa...!!!
 
CCM ishakufa, dead walking...!!! ni swala la muda tu
 
Treni limeshashika kasi atakayeshuka ataumia km Dr. Mihogo
 
Usanii wa Lowassa unapovuka mipaka na kwenda Zanzibar.
Sasa wenye akili akili mukichwa!!
 
Hapa tulipo fika hata atoke mbowe,mwendo ni ule ule,wamemtoa slaa,lipumba,kwan duni ndo atakuwa na impact???
Hata akitoka lowasa tutaweka jiwe na litashinda kwa kishindo

Hivi huwa mnapata viroba kwanza ndio mna login?
 
Nasikia Mapadlock analazmisha apewe kadi ya CHADEMA,,,kaambiwa amuombe Lowassa amteue baada ya uchaguz...kakacrika sana,kaamua kuiba logo ya M4C
 

Kachukue posho yko Lumumba
 

Kumbe kweli una hongwa ili uchafue watu.
 
Utatujua watanzania kuwa tumeacha kuwa misukule
 
Mtakimbia nchi kabla ya hiyo tarehe
 

Timu Propaganda huku sasa in KUFILISIKA KISIASSA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…