MGOMBEA MWENZA KUREJEA CUF
Kutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna Chadema wanavyoendesha umoja huo. Aidha kutokana na hali hiyo,taarifa zinadai kunauwezekano mkubwa mudawowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa Chadema Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.
Posts count : 4
Other : junior member
Hayo mambo waliyokubaliana ni yepi??
Majimbo aliyoachiwa cuf na nccr chadema wasisogeze pua zao.Hayo mambo waliyokubaliana ni yepi??
Cyber crime act ipo kweli?
nilikua sijajua kama kuiga mambo yya upinzani ni strategy yetu wanaccm, ningeshauri tuwe tunaanzish vyetu hii ni dalili ya kuishiwa siamini chama kikongwe kama chetu tumefikia hapa!Hiyo ni strategy na sasa inafanya kazi. Usihofu!
Umeshamaliza au bado?...haya nenda kachukue buku saba yako kwa waliokutuma...hakuna namna tena Rais wako ajaye ni Lowassa na hakuna mbadala
MGOMBEA MWENZA KUREJEA CUF
Kutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna Chadema wanavyoendesha umoja huo. Aidha kutokana na hali hiyo,taarifa zinadai kunauwezekano mkubwa mudawowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa Chadema Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.