Mgombea mwenza kurejea CUF

Mgombea mwenza kurejea CUF

Lisemwalo lipo, huyu Juma Duni kweli hasikiki kabisa siku hizi tofauti na Mama Samia.

Huwezi kumsikia kwani fisiem ni kwa mwendo wa fiesta na kugawa noti
 

Attachments

  • 1442644105479.jpg
    1442644105479.jpg
    37.6 KB · Views: 335
MGOMBEA MWENZA KUREJEA CUF

Kutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna Chadema wanavyoendesha umoja huo. Aidha kutokana na hali hiyo,taarifa zinadai kunauwezekano mkubwa mudawowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa Chadema Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.

Mbona unatapatapa chunguza kama kweli uko sawa.
 
MGOMBEA MWENZA KUREJEA CUF

Kutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna Chadema wanavyoendesha umoja huo. Aidha kutokana na hali hiyo,taarifa zinadai kunauwezekano mkubwa mudawowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa Chadema Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.

Iwapo J Duni alikopwa kutoka CUF tutegemee nini mkuu?
 
MGOMBEA MWENZA KUREJEA CUF

Kutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna Chadema wanavyoendesha umoja huo. Aidha kutokana na hali hiyo,taarifa zinadai kunauwezekano mkubwa mudawowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa Chadema Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.
I'd za uchaguzi utazijua tu↓

Join Date : 14th September 2015
Posts : 4
Rep Power : 0
Likes Received
1
Likes Given
0
 
Magufuli kila anapopita maelfu ya wakazi hutaka kumwona kutokana na historia yake nzuri kiutendaji.
 
Lisemwalo lipo, huyu Juma Duni kweli hasikiki kabisa siku hizi tofauti na Mama Samia.

Hivi na ww umeona hii hbr ni ya kweli? Tume imempitisha Duni km mgombea mwenza wa chadema hvyo akijitoa lzm afuate taratibu ambazo zitapelekea kuahirishwa kwa kampeni ili chadema wapate mgombea mwenza mpya,jaribu kufikiria nje ya box.
 
Juma Duni akirudi CUF atakuwa kajitambua kwelikweli, chadema ni Saccos ndogo, wamiliki wake ni watu wachache aondoke tu, huko alipo siko.

CUF kile chama mlichosema cha magaidi waislamu na IGP Mahita akatangaza kontena lao la mapanga? Mkuu wekeni 'glue' kwenye masaburi mikao inase vitini maana dawa inapenya mwilini....... M4C..
 
Hawezi kuhama Taifa litapata hasara kwa kuhairisha Uchaguzi

Wala taifa halitapata hasara na wala uchaguzi hauwezi kuahirishwa. Ukishateuliwa na tume yamekwisha labda ufe tu. Hata akiamua kulala nyumbani mpaka tar 25 oct jina lake litakuwepo kama mgombea mwenza wa chadema.
 
Kutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna CHADEMA wanavyoendesha umoja huo.

Aidha kutokana na hali hiyo, taarifa zinadai kuna uwezekano mkubwa muda wowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa CHADEMA Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.

Kama wewe ndiyo mwanapropaganda wa ugambani basi kuna tatizo Kubwa sana huko ugambani kuliko inavyofikiriwa.Kama makomeo anadiliki kupokea kadi feki ya chadema ambayo haina hata jina la mwanachama,achilia mbali tawi ilipotolewa,hatushangai nyie vifaranga kupost utumbo wenye harufu Kali jukwaani.
 
Juma Duni akirudi CUF atakuwa kajitambua kwelikweli, chadema ni Saccos ndogo, wamiliki wake ni watu wachache aondoke tu, huko alipo siko.

Huko ugambani kwenu wamiliki ni akina nani? Hivi huwezi kutafta kazi yakufanya kweli kuliko hii ya buku 7 ?
 
kitu hicho si kweli yumkini mtoa mada ni kilaza hajui sheria ya uchaguzi,akiludi cuf itamsaidia nini yeye kama yeye?hawez kugombea hata udiwan maana muda wakuwasilisha majina tume umeshapita!pia si kweli aliyeandika uzi huu ni mtu wa ccm yan watafuta shari,Juma duni yuko bize na kampeni anachanga mbuga anafanya jitihada zakueneza mabadiliko yuko duni(cuf)yuko na watu wa cuf sasa ametengwa vipi wakati yuko kwenye njia sahihi
 
Chadema ni janga,kila leo migogoro, wao wanajiona ni bora zaidi ya wengine.Juma haonekani kabisa na kila anapopita anazomewa tu.

Kazomewa wapi sasa. Acha unafki unadhani huu unafki mnaoleta ndo utawapeni kura? Tafteni njia nyingine hizi mmefeli.
 
Huu ni upuuzi uliokithiri inaonyesha uduni wa uwezo wa kufikiri sio tu jukwaani hata kwenye maisha yako ya kawaida. Pole sana
 
ma CCM kazi kubwa yao ni UONGO, UNAFIKI, USHIRIKINA, MAJIZI, WEZI, WAVIVU WA KUFIKIRI, WAKOLONI WEUSI... mtaji wao mkubwa ni UJINGA wa Watanzania...

Ukijua hayo hapo juu, HUPATI SHIDA kuwasoma hawa ma CCM... hovyo sana..!!!

CCM out...!!
 
Back
Top Bottom