Mgombea mwenza kurejea CUF

Mgombea mwenza kurejea CUF

Mtakimbia nchi kabla ya hiyo tarehe

whatever it takes damu yangu imefungamana na nchi yangu,sitakimbia nchi yangu kama watu wa nchi nyingine wanaona nchi yetu ndo kimbilio lao,that means outside their its worse than here,if i know that,why would i even bother to run my country?
 
Kujitambua ni muhimu sana katika kuchagua viongozi stahiki kwa Taifa letu. Magufuli ndiye haswa.
 
Kutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna CHADEMA wanavyoendesha umoja huo.

Aidha kutokana na hali hiyo, taarifa zinadai kuna uwezekano mkubwa muda wowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa CHADEMA Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.
Hii mkuu ni kweli kabisa kwani hata kampeni siku hizi kapunguza kama sio kuacha kabisa. Amegundua kuwa kaingizwa chaka.
 
Timu Propaganda huku sasa in KUFILISIKA KISIASSA
Tuliwambia Lowassa atakatwa ccm mkasema tunajisumbua na tumefilisika. Alikatwa hakukatwa? Sasa na Juma Haji Duni ndo anaaga hivyooo. Chadema mlie tu kwa maana ndio wenye vieleele. Mmepgwaa na Gwajima wenu.
 
Sijui ni siasa gani hizi.Hata hivyo hela za watu alizopewa Bil.50 atarejesha?
Kutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna CHADEMA wanavyoendesha umoja huo.

Aidha kutokana na hali hiyo, taarifa zinadai kuna uwezekano mkubwa muda wowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa CHADEMA Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.
 
Back
Top Bottom