tungwilege
Senior Member
- May 15, 2015
- 198
- 41
Kafie mbali,
Mtakimbia nchi kabla ya hiyo tarehe
Umeshamaliza au bado?...haya nenda kachukue buku saba yako kwa waliokutuma...hakuna namna tena Rais wako ajaye ni Lowassa na hakuna mbadala
Hii mkuu ni kweli kabisa kwani hata kampeni siku hizi kapunguza kama sio kuacha kabisa. Amegundua kuwa kaingizwa chaka.Kutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna CHADEMA wanavyoendesha umoja huo.
Aidha kutokana na hali hiyo, taarifa zinadai kuna uwezekano mkubwa muda wowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa CHADEMA Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.
Tuliwambia Lowassa atakatwa ccm mkasema tunajisumbua na tumefilisika. Alikatwa hakukatwa? Sasa na Juma Haji Duni ndo anaaga hivyooo. Chadema mlie tu kwa maana ndio wenye vieleele. Mmepgwaa na Gwajima wenu.Timu Propaganda huku sasa in KUFILISIKA KISIASSA
Hpa kazi ipo kwelikweli, kila kukicha matatizo, nae kashanunuliwa kumbe.
Kutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna CHADEMA wanavyoendesha umoja huo.
Aidha kutokana na hali hiyo, taarifa zinadai kuna uwezekano mkubwa muda wowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa CHADEMA Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.