Mgombea CCM aanguka jukwaani akiruka kichurachura!

Mgombea CCM aanguka jukwaani akiruka kichurachura!

Ana bahati maana kwenye pushap wengi wanaachia mashuzi wapiga picha wanakomajeee
 
Tutashuhudia kila aina ya kituko mwaka huu!
 
DSC_0602.jpg

Hii imenikumbusha ya vijana wa kirashia kuogelea kwenye mabwawa ya barafu ili kuonyesha kuwa kwako fit. Tanzania inarejea enzi zake, kila kijana kujifunza ulinzi binafsi.
 
Huyu Jamaa alikuwa msajili wa bodi ya wahandisi Tanzania, nilimshangaa sana yeye pamoja na Magufuri kuhusisha siasa siku ya mkutano wa mwaka wa wahandisi pale mlimani city
 
Kuruka kichura na pushups wapi na wapi?

Hivi watu wengine hata mkitaka kuunganisha basi hamtumikii akili japo kiduchu?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Nilifikiri atasema aliruka kichura yakamkuta ya Chato!
 
Na waanguke tu hadi wafie majukwaani maana tumechoka na usanii wao...hakuna namna nyingine waanguke tu hadi wafie majukwaani, tumechoka na ze komedi zao, wapuuzi wakubwa!
 
Mgombea ubunge wa jimbo la Tunduru Kaskazini RAMO MAKANI amedondoka wakati akijaribu kupiga pushup kama Magufuli kabla ya kuhutubia mkutano,kitendo kilichosababisha wanananchi wamzomee na kumcheka.
 

Attachments

  • 1443986827507.jpg
    1443986827507.jpg
    9.4 KB · Views: 5,772
  • 1443986840394.jpg
    1443986840394.jpg
    10.6 KB · Views: 5,162
Asante kwa Picha,
Hawa CCM ni wajinga na wanaendeshwa kijinga sana
 
magamba mtakula hata ma.vi mwaka huu kusaka kura.

pumbafff kabisa
 
Hayo mambo wawaachie mabaunsa watakuja kujamba mbele za watu bureeee
mwili umekakamaa ndo akaunyooshe jukwaani kwa push upsa aibu yake hiyo
 
Back
Top Bottom