Mgombea CCM aanguka jukwaani akiruka kichurachura!

Mgombea CCM aanguka jukwaani akiruka kichurachura!

POLE KAMANDA; PUSH UP KAMA KAWAIDA
11.jpg

Hii adhabu haitoshi lazima wawekwe ndani. Mnajichagulia adhabu nyepesi hivi!!!!!!!!!!!
 
Shida za wananchi hazitatuliki kwa kupiga push up acheni kutuchora
 
Mgombea ubunge wa CCM jimbo la Tunduru Kaskazini, Injinia Ramo Makani, alianguka jukwaani wakati wa kampeni. Alikuwa anaruka kichurachura kuwathibitishia wapiga kura yuko fiti kiafya ndipo 'aibu' hiyo ilipomkuta.
View attachment 293616
My take: Acheni Mungu aitwe Mungu!

Kuna ndoto nimeota,atatokea mmoja atafia jukwaani na huo ndio utakuwa mwisho wa CCM ya Magufuli!!
 
hahahahaha mwaka huu LOWASSA anawaimbisha wimbo anaotaka yeye teh teh kama namuona huyo mgombea anavyopiga huo mweleka
VIVA UKAWA!!!
 
2.jpg

Ndo huyu....:lol::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big: Yani kama namuona hivi alivyoangukia pua


35.jpg


Miwani yake haikuvunjika????
 
MAGUFULIKA NDIO HABARI YA MJINI...sasa hivi hadi kwenye harusi....maharusi WANAMAGUFULIKA..... Kuanzia November 2015....sehemu za kazi kabla ya kuanza kazi ... KUMAGUFULIKA baada ya kabla kwenda Nyumbani watu watakuwa wanamagufulika tena!!
Rubbish
 
Angevunjika hata kiuno mjinga huyo badala kueleza sera wanafanya maigizo.
 
mbavu zangu weeeeeeeee...
peopleeeeeez..
 

mbona umetoka nje ya THREAD hii mkuu.

Anzisha yako na siyo kudandia gari moshi kwa mbele.

Hiyo inaitwa breaking issue. Inaweza ku-override jambo lingine lolote, wakati wowote, na mahali popote. Mahangaiko yote ya kisiasa tangu kuanzisha vyama fina output ni hiyo - KURA. Usilete mzaha Mkuu.
 
Mgombea ubunge wa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo la Tunduru Kaskazini,Mhandisi Ramo Makani alianguka jukwaani wakati akijaribu kuruka kichura chura.

Inasadikiwa kuwa alikusudia kunogesha staili ya mgombea urais wa tiketi ya CCM,Dr. John Magufuli ya kupiga Push Up..
 
Kuna ndoto nimeota,atatokea mmoja atafia jukwaani na huo ndio utakuwa mwisho wa CCM ya Magufuli!!


nasikia Pombe kaahidi siku ya mwisho ya kampeni atachanika msamba kudhihirisha ushupavu wake...
 
Back
Top Bottom