hahahahahaHayo mambo wawaachie mabaunsa watakuja kujamba mbele za watu bureeee
mwili umekakamaa ndo akaunyooshe jukwaani kwa push upsa aibu yake hiyo
haha Nyoso wa nini 😂😂Nyoso yuko wapi? Naomba Ukawa tumpe tenda kushughulikia watu wa aina hii, akianza na yule mgunduzi wao
shikamoo kaka, loading. I will be back!Wanamuiga Magufuli, Mwenzao akipiga Push up usiku anafanyiwa massage na vibinti vizuri vizuri vya kwenye msafala wa Kampeni kama kawaida yao kwa hiyo akiamka hana uchovu kuliko hawa wengine hawajielewi na hawana mazoezi yeyote
mpaka sasa najiuliza lengo la pushup ni nini nakosa jibuccm wamejisahau sana....wamelewa madaraka na sasa wanaonesha dharau za wazi kabisa kwa wananchi..!!
Wananchi wanataka yale yaliyowashinda kwa miaka zaidi ya 50... Hizo pushups na vichura cd, dvd na gym zipo tutangalia za viwango..!!
bongo muvistWanamuiga Magufuli, Mwenzao akipiga Push up usiku anafanyiwa massage na vibinti vizuri vizuri vya kwenye msafala wa Kampeni kama kawaida yao kwa hiyo akiamka hana uchovu kuliko hawa wengine hawajielewi na hawana mazoezi yeyote
mpaka sasa najiuliza lengo la pushup ni nini nakosa jibu
mpaka sasa najiuliza lengo la pushup ni nini nakosa jibu