marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,635
- 3,655
Mbowe,Lipumba na Mbatia watajibu nini kwa mungu kwa kusababisha makusudi kifo cha huyo mgombea!!?
Aisee...
Wasijibu sasa hivi...wangojee 2015 ili wajibu maana vifo vingi vitatokea. ...
Mbowe,Lipumba na Mbatia watajibu nini kwa mungu kwa kusababisha makusudi kifo cha huyo mgombea!!?
Aise kama CHADEMA wamefika kijiji cha NYAGWIJIMA basi CCM itabaki kwa wagogo!! Hiki kijiji nakifahamu sana ni interior km kama 10 unaingia Burundi! Ngoja nidadisi vijiji vingine vya jirani kama Mabamba,Mkarazi,Mgunzu n.kNi mgombea wa CCM wa nafasi ya Mwenyekiti wa Kitongoji cha Nagwijima huko wilayani Kibondo, amefariki dunia jana kwa shinikizo la damu mara baada ya kujulishwa matokeo kuwa mgombea wa CHADEMA kashinda uchaguzi, alidondoka chini na alipofikishwa hospitali alikuwa declared dead.
Mimi najiuliza kwa style hii November mwaka 2015 itakuwaje?nadhani tutapata habari kama hizi kwa baadhi ya wabunge.
Chanzo: Radio Kwizera -kipindi cha matukio leo saa 1 Asubuhi.
Ni mgombea wa CCM wa nafasi ya Mwenyekiti wa Kitongoji cha Nagwijima huko wilayani Kibondo, amefariki dunia jana kwa shinikizo la damu mara baada ya kujulishwa matokeo kuwa mgombea wa CHADEMA kashinda uchaguzi, alidondoka chini na alipofikishwa hospitali alikuwa declared dead.
Mimi najiuliza kwa style hii November mwaka 2015 itakuwaje?nadhani tutapata habari kama hizi kwa baadhi ya wabunge.
Chanzo: Radio Kwizera -kipindi cha matukio leo saa 1 Asubuhi.