Mgogoro wa TANESCO na ZECO unahitaji busara kuliko nguvu

Nathason2

JF-Expert Member
May 20, 2015
598
680
Juzi alisikika Raisi Magufuli akiliagiza shirika la Umeme Tanzania TANESCO kulikatia umeme shirika la umeme Zanzibar/ZECO kutokana na kushindwa kulipa deni linalotokana na ZECO kutoridhia uamuzi wa TANESCO kuwauzia umeme kwa gharama wanazouziwa wateja wa Tanganyika

Kwa mtazamo wangu Endapo uamuzi huo utatekelezwa basi huenda utaibua hisia za utengano na mpasuko zaidi ya Nia njema ya raisi magufuli ya kusaidia TANESCO kujiendesha. Nionavyo mimi ni kheri TANESCO na ZECO wakaka meza moja wakajadiliana na kuona nmna ambavyo jambo hili linaweza kutatuliwa lakini sio kwa kuwakatia Umeme
 
Juzi alisikika Raisi Magufuli akiliagiza shirika la Umeme Tanzania TANESCO kulikatia umeme shirika la umeme Zanzibar/ZECO kutokana na kushindwa kulipa deni linalotokana na ZECO kutoridhia uamuzi wa TANESCO kuwauzia umeme kwa gharama wanazouziwa wateja wa Tanganyika

Kwa mtazamo wangu Endapo uamuzi huo utatekelezwa basi huenda utaibua hisia za utengano na mpasuko zaidi ya Nia njema ya raisi magufuli ya kusaidia TANESCO kujiendesha. Nionavyo mimi ni kheri TANESCO na ZECO wakaka meza moja wakajadiliana na kuona nmna ambavyo jambo hili linaweza kutatuliwa lakini sio kwa kuwakatia Umeme
alianza kusema wafungwa lio nje ya nchi wanyongwe tu, waliofurushwa msumbiji serikali ya huko imefanya vizuri now ameanza zanzibar
hapa naanza kuamini jei kei alimleta sizonje kwa hasira kutukomoa tukose wote
sio kwa akili hii:D:D
 
Busara inahitajika sana!Sema bwana yule busara kwake -------

Ova
 
Juzi alisikika Raisi Magufuli akiliagiza shirika la Umeme Tanzania TANESCO kulikatia umeme shirika la umeme Zanzibar/ZECO kutokana na kushindwa kulipa deni linalotokana na ZECO kutoridhia uamuzi wa TANESCO kuwauzia umeme kwa gharama wanazouziwa wateja wa Tanganyika

Kwa mtazamo wangu Endapo uamuzi huo utatekelezwa basi huenda utaibua hisia za utengano na mpasuko zaidi ya Nia njema ya raisi magufuli ya kusaidia TANESCO kujiendesha. Nionavyo mimi ni kheri TANESCO na ZECO wakaka meza moja wakajadiliana na kuona nmna ambavyo jambo hili linaweza kutatuliwa lakini sio kwa kuwakatia Umeme
  • Dawa ya deni ni kulipa, visitafutwe visingizio
  • Kama ni vikao washakaa sana, na ZECO waliambiwa walipe kidogo kidogo
  • ZECO na wadaiwa sugu wengine sio siri ndio wanaoitia hasara TANESCO
  • Wakati umefika ZECO/SMZ walipe bili yao watuondolee burden Watanganyika ya kupandishiwa bei ya umeme kila mara
 
Wote ni watanzania! Walipe sawa! Wale wanajifanya kama nyumba ndogo wakiamini watabembelezwa tu! Kisa eti watatishia kuvunja muungano! Ebo! Kwani karafuu zinazokuja bara wanatuuzia kwa bei ndogo kuliko wanayowauzia wazanzibari? Kama sivyo kwa nini wanategemea wauziwe umeme kwa bei ndogo kuliko ya huku bara?
Hawa wasitutishie kuvunja muungano! Kulipa watalipa na muungano hauvunjiki!
Turejee sasa kwenye hoja ya msingi: Daudi Bashite weka vyeti hapa!
 
alianza kusema wafungwa lio nje ya nchi wanyongwe tu, waliofurushwa msumbiji serikali ya huko imefanya vizuri now ameanza zanzibar
hapa naanza kuamini jei kei alimleta sizonje kwa hasira kutukomoa tukose wote
sio kwa akili hii:D:D
kura mpige wenyewe halafu Lawama kwa jk.
 
  • Dawa ya deni ni kulipa, visitafutwe visingizio
  • Kama ni vikao washakaa sana, na ZECO waliambiwa walipe kidogo kidogo
  • ZECO na wadaiwa sugu wengine sio siri ndio wanaoitia hasara TANESCO
  • Wakati umefika ZECO/SMZ walipe bili yao watuondolee burden Watanganyika ya kupandishiwa bei ya umeme kila mara
Je unafikiri wanzanzibari wakianza kuzalisha umeme wao gharama za umeme huku bara zitapungua? naomba nifafanulie zitapunguaje?
 
iv kwani uko Zanzibar si Tanzania pia kwanini wasifanye iwe kitu kimoja ili kuepusha mambo kama aya

Kuna maaana gani ya muungano kama mambo mengi hatushikiani kila upande unajitegemea

Ni mawazo Tu lakin

namuona wakukurupuka kashafanya yake
 
Back
Top Bottom