officialBossmtoto
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 369
- 1,178
Boda akawa amesema ni mgogoro wa ardhi ambao kuna tajiri anaitaka hio mali kwa nguvu.
Sina taarifa kamili wala za uhakika. Ila sasa imefika hatua silaha za moto na mawe yanatumika.
Hizi ni dalili za kukata tamaa na kuchoka kwa wananchi.
Huwa nashangaa sana kuona watu wanagombania ardhi kana kwamba wataishi milele njoo huku namanyere tukupe heka 500 bure uziendeleze kuliko kugombania SQm 400 hapo kinondoni manyanya
Kama ni kinondoni manyanya Kwa tarimba hapo mgogoro wa ardhi unatokea wapi? Ukisema kuna mgogoro wa nyumba imeuzwa Kwa magumashi hapo nitakubali
sqm 400 Kinondoni ni mali hasa.Huwa nashangaa sana kuona watu wanagombania ardhi kana kwamba wataishi milele njoo huku namanyere tukupe heka 500 bure uziendeleze kuliko kugombania SQm 400 hapo kinondoni manyanya
sqm 400 Kinondoni ni mali hasa.
kabisa mji unakua kwa kasi.Sqm 400 kinondoni ilifika 2030 utakua hushikiki.
kabisa mji unakua kwa kasi.
Zenji ina watu chini ya milioni mbili,hiyo migogoro ya ardhi itatokea wapi?.Hivi Zanzibar pia hua kuna migogoro ya aridhi?
Kwani sisi unafikiri tuna migogoro ya aridhi kwakua tuko wengi kwahyo aridhi haitoshi?Zenji ina watu chini ya milioni mbili,hiyo migogoro ya ardhi itatokea wapi?.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Kwani sisi unafikiri tuna migogoro ya aridhi kwakua tuko wengi kwahyo aridhi haitoshi?Zenji ina watu chini ya milioni mbili,hiyo migogoro ya ardhi itatokea wapi?.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app