Mgeni wenu mie

Mary karibu..nilivyoangalia hyo avatar yako tu..nimegundua utakuwa huna mtu sahihi wakukuhudumia....itabidi nikutafute PM nisolve matatizo yako
 
Yani mkuu nikiona comment yako nakumbuka....raundi ya 23 iyo jitaidini jamani....ya 22 iyo....hahahaha,wakaongeza na zao 7 kutoka kambini mpaka majumbani mwaoo
Duh nilicheka sana

Ha ha ha ha ha ha Mkuu bhana usahau tu? Nimefurahi kusikia kwamba kumbe uliburudika kabisa na ile story yangu ya Kutukuka ya mwana Sanga Sanga aliyenifanyia tukio la aina yake huko Yombo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom