Uzalendo Installer
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 5,355
- 8,830
Mary karibu..nilivyoangalia hyo avatar yako tu..nimegundua utakuwa huna mtu sahihi wakukuhudumia....itabidi nikutafute PM nisolve matatizo yako
Mkuu unamfanya kuamaki ye ajui kama unazungumzia kifurushi kisicho isha ....!Bibie inaonekana una maji saana..!
Hawez fanya hivyo hana ka frogKaribu! Bandika picha yako inayoonesha kuazia kichwa hadi nyayo
Hahaha pigado! bonge la penati halafu kipa hayupo!
Ngoja niwahi kabla asprin hajaja na mihela yake
Yani mkuu nikiona comment yako nakumbuka....raundi ya 23 iyo jitaidini jamani....ya 22 iyo....hahahaha,wakaongeza na zao 7 kutoka kambini mpaka majumbani mwaoo
Duh nilicheka sana
Una mpenzi?Tena??????@sergio
Wataalam wanakuja bibie subiri.Asante chura hapa sio ya kuuliza pigia mstari.
........sasa mbona unakuwa mkaidi jamani yanapokuja mambo ya pm?.....tutaifaidije hiyo chura sasa??Original tena!
Ohoo!Bibie inaonekana una maji saana..!
Siyo kuimba tu ni kweliNdio ninavyosikia wanaimba