YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,906
Kwenye msiba ukialika mfano Rais huwa hatambulishwi kama Raisi anatakiwa kutambulishwa kama Chief Mourner au mwombolezaji mkuu
Mfano Iganda leo Rais kaenda msiba wa Kumzika zAskofu Mkuu wa Katoliki anatambulishwa kama Chief Mourner
Msiba wa kueleweka huwa na mgeni wa heshima ukiona huna mgeni wa heshima huyo mtu hamumuziki bali mnamfukia na uage kuwa unaenda kufukia mtu sio kuzika
Wanaozikwa misiba yao huwa na wageni wa heshima ma Chief Mourner au waombolezaji wakuu
Mfano Iganda leo Rais kaenda msiba wa Kumzika zAskofu Mkuu wa Katoliki anatambulishwa kama Chief Mourner
Msiba wa kueleweka huwa na mgeni wa heshima ukiona huna mgeni wa heshima huyo mtu hamumuziki bali mnamfukia na uage kuwa unaenda kufukia mtu sio kuzika
Wanaozikwa misiba yao huwa na wageni wa heshima ma Chief Mourner au waombolezaji wakuu