Mgeni JamiiForums

Kumbe jeiefu kunakulipia
 
Mgeni we sio askari wa doria jf? Mbona siku ya kwanza tu ushaliteka jukwaa? Inaonekana wewe ni mwenyeji umeamua kuja kivingine😅,. Mimi najua wageni waa jukwa hili wakiingia kwanza hua hawazielewi mada za humu inawachukuaga hta wiki mbili ndipo wanaanza ku comment. Anyway karibu sanaaaa.
Maana umenishangaza ushajua vyeo vya member wote wa humu😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…