Mgawe upo?

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Huyu bwana kila kukicha alikuwa anatembea pale bandarini na kuwaambia Menejimenti kuwa anaondoka baada ya Jk kuacha kumtembelea amakuwa hajali na meli na wizi umerudi kama kawaida

tazama wenzie wanavyo fanya kazi



1244794461897_vol32_3_statSea_276851.jpg





20090504_9c295fde85059c1ccf6cLc64LJEmePxx.jpg


20090504_ea7b7fe0454ec000b717HPXXaRVjzDAM.jpg


20090504_5dfbbbb3a2ea3d30b7b6kiiYjTqTQj8S.jpg


20090504_0e866507484bd4be6264P2hG6OmQSqTS.jpg


20090504_bf9407b44cf91a42b73eLt2Lu4OlfIBM.jpg


20090504_5d963b0e33843766b8e1Cule696yhcro.jpg


20090504_b9091d4d1372a7e0f54b5ufn1DHhmFjZ.jpg


20090504_6c0f01d69d6cc74e51e3O39VWEpzMgfF.jpg
 
gt unadhani mgawe KAMA MGAWE anaweza kufanya kazi yake KWA MFUMO WA HONGKONG?yani mgawe kama mgawe?????
 
gt unadhani mgawe KAMA MGAWE anaweza kufanya kazi yake KWA MFUMO WA HONGKONG?yani mgawe kama mgawe?????

Ndiyo anaweza, NDIYO MAANA ALIKUBALI ALIPOPEWA KAZI HII. Na siyo lazima iwe kama mfumo wa Hongkong, ila kwa ufanisi kama wa Hongkong. Swali la kujiuliza ni kwa nini hafanyi kazi yake? Mpaka atembelewe mara kwa mara na mkuu wa nchi? Watu kama hawa ndiyo wanafaa kufunguliwa mashtaka ya economic sabotage.
 
Ndiyo anaweza, NDIYO MAANA ALIKUBALI ALIPOPEWA KAZI HII. Na siyo lazima iwe kama mfumo wa Hongkong, ila kwa ufanisi kama wa Hongkong. Swali la kujiuliza ni kwa nini hafanyi kazi yake? Mpaka atembelewe mara kwa mara na mkuu wa nchi? Watu kama hawa ndiyo wanafaa kufunguliwa mashtaka ya economic sabotage.
mimi ningejiuliza swali tofauti,NI NANI ALIYEMUWEKA HAPO WAKATI UFANISI WAKE KITAALAMU UPO CHINI?

-NI KWANINI RAISI AMTEMBELEE NDIPO AFANYE KAZI YAKE?

-NI KWELI KWAMBA HAKUNA WATAALAMU WA KUIFANYA HIYO KAZI TANZANIA?

-NI KWANINI ASITUPIWE VIRAGO?
 
mimi ningejiuliza swali tofauti,NI NANI ALIYEMUWEKA HAPO WAKATI UFANISI WAKE KITAALAMU UPO CHINI?

-NI KWANINI RAISI AMTEMBELEE NDIPO AFANYE KAZI YAKE?

-NI KWELI KWAMBA HAKUNA WATAALAMU WA KUIFANYA HIYO KAZI TANZANIA?

-NI KWANINI ASITUPIWE VIRAGO?

amaa sijui alisibwa na nini lakini kwa taarifa za watu wa ndani ni kuwa hakuna mtu ambaye alikuwa na pendwa Bandarini kama Mgawe...kuanzia Makuli mpaka kwenye menejimenti

Then....

Akapewa kile cheo

of course the rest is history...nadhani cheo kilikuwa kikubwa kuliko uwezo wake, na si hivyo tuuu...ameshindwa kutranslate uwezo wake wa awali kuwa vitendo nyanja za juu..maana pale TICS ndio hawezi kuigusa kwa sababu waheshimiwa wana mikono yao...at the same time uwezo wake wa kiongoza TPA umefikia kikomo

ukitaka kujua kama TPA wana akini ndogo tazama strategy zao za kuipanua ile bandari ndio utajua hawa jamaa wako karne ya 3 wakati wenzao wako kwingine kabisa
 
amaa sijui alisibwa na nini lakini kwa taarifa za watu wa ndani ni kuwa hakuna mtu ambaye alikuwa na pendwa Bandarini kama Mgawe...kuanzia Makuli mpaka kwenye menejimenti

Then....

Akapewa kile cheo

of course the rest is history...nadhani cheo kilikuwa kikubwa kuliko uwezo wake, na si hivyo tuuu...ameshindwa kutranslate uwezo wake wa awali kuwa vitendo nyanja za juu..maana pale TICS ndio hawezi kuigusa kwa sababu waheshimiwa wana mikono yao...at the same time uwezo wake wa kiongoza TPA umefikia kikomo
Serikali ingetaka ufanisi wa china na hongkong WANGEMTOA PALE WAKAMWEKA MTU STAHILI!naona hilo hawalitaki huenda litadisturb equilibrium

ukitaka kujua kama TPA wana akini ndogo tazama strategy zao za kuipanua ile bandari ndio utajua hawa jamaa wako karne ya 3 wakati wenzao wako kwingine kabisa
hapa gt unazungumzia hii CONTAINER STACKING YARD?
 
Serikali ingetaka ufanisi wa china na hongkong WANGEMTOA PALE WAKAMWEKA MTU STAHILI!naona hilo hawalitaki huenda litadisturb equilibrium


hapa gt unazungumzia hii CONTAINER STACKING YARD?

zote kwa sababu ukisoma blue print yao ya next 5 years ilitake into accountongezeko la makontena...lakini of course wenyewe hawapendi kuulizwa maswali kuhusu haya

Muhimu ni kutazama hizo per diem za exploration za Hong Kong, Durban, Singapore na UAE

Nadhani hii vita ya kuwatafuta mafisadi wakubwa itatuchelewesha

kwa nini tusianzie na Bandari tuwapumulie mgongoni weee mpaka waseme hii nini then i am sure kutakuwa na mabadiliko makubwa tuuu

Tazama MKJJ alivyowakomalia kuhusu Meremeta...PA ni kitego ambacho tunaweza kukibadilisha tukitaka
 
kwa nini tusianzie na Bandari tuwapumulie mgongoni weee mpaka waseme hii nini then i am sure kutakuwa na mabadiliko makubwa tuuu

Tazama MKJJ alivyowakomalia kuhusu Meremeta...PA ni kitego ambacho tunaweza kukibadilisha tukitaka

.........we can go through your plan!i am sure we will make a lots of noises which will be heard by whale-frauds
 
jamani tuache unafiki mgawe amejitahidi kuendesha TPA vizuri,hebu tuwe wa kweli kidogo bandari ya leo sio ile ya miaka ya nyuma iliyopita kabla hajapewa wadhifa wa kuendesha bandari.siku hizi msongamano bandarini umepungua tofauti na nyuma,leo hii gari haikai zaidi ya wiki bandarini tofauti na miaka hiyo,bandari inapanuliwa,mazingira ya kazi kwa wafanyakazi yame boreshwa.Jamani TUACHE KUANGALIA MABAYA TU NA MAZURI YAPO TENA MENGI TU ALIOFANYA YEYE SIO MALAIKA ATIMIZE KILA KITU NA MKUMBUKE MAENDELEO YANAHITAJI MUDA,YEYE NI BINADAMU TU KAMA SISI HAWEZI KUFANYA MIUJIZA AIBADILISHE BANDARI KWA MUDA MFUPIHIVYO
 
Back
Top Bottom