Mgao wa umeme wa kufa mtu watangazwa, Juni 2011 na kuendelea

Haya ni maelezo ya mjumbe wa kamati ya bunge ya nishati na madini;

"maelezo ya kwamba mgawo huu umesababishwa na mitambo ya IPTL kuzalisha MW 10 badala ya MW 100 kutokana na upungufu wa mafuta mazito(HFO) yanatosha kwa serikali kuwajibika kutokana na uzembe wenye kulitia hasara taifa kwa sababu suala hili lilikuwa likijulikana kwa miezi mingi bila hatua stahili kuchukuliwa.Aidha serikali ieleze ukweli kwamba waziri ngeleja alitoa kauli potofu bungeni tarehe 15 february na Rais kikwete alitoa ahadi hewa kupitia hotuba yake kwa taifa tarehe 1 april kuhusu ukodishaji wa mitambo ya Mw 260 kwa ajili ya umeme wa dharura kuanzia julai"

source:fb status ya john mnyika(M.P)
 
Sijui hizi hasara ninazopata kwa kukosa umeme ni nani atanilipa.....??, At least machungu yatapungua nikiona Ngeleja anawajibika
 
hayo maneno ya mnika yatasaidia nini? nchi ipo gizani..atangaze sisi tuingie kitaa basi
 
yaani kama inawezekana na uongozi wote wa tanesco wawajibike wametoa ratiba lakini ratiba haifatwi sijui wametupa ratiba yanini sasa...
 
Hatuhitaji mgawo kwa kiwango chochote, ni uzembe kuendelea kukaa gizani, Neleja na watu wake wajiuzulu
 
Haya ni maelezo ya mjumbe wa kamati ya bunge ya nishati na madini;

"maelezo ya kwamba mgawo huu umesababishwa na mitambo ya IPTL kuzalisha MW 10 badala ya MW 100 kutokana na upungufu wa mafuta mazito(HFO) yanatosha kwa serikali kuwajibika kutokana na uzembe wenye kulitia hasara taifa kwa sababu suala hili lilikuwa likijulikana kwa miezi mingi bila hatua stahili kuchukuliwa.Aidha serikali ieleze ukweli kwamba waziri ngeleja alitoa kauli potofu bungeni tarehe 15 february na Rais kikwete alitoa ahadi hewa kupitia hotuba yake kwa taifa tarehe 1 april kuhusu ukodishaji wa mitambo ya Mw 260 kwa ajili ya umeme wa dharura kuanzia julai"

source:fb status ya john mnyika(M.P)

Hapo kwenye red, wakuu imebidi nicheke! Hiyo si ilikuwa ni siku ya sikukuu?? LOL!
 
Akili za panzi tutaendelea kuwapa magamba. This time sioni sababu ya kupiga kura yangu. Acha niendelee k uwa hoi till death siyo kupoteza muda wangu wa kupigia kura walafi! Hovyoooo kabisa.
 
Hivi Watanzania wangapi wana facebook access? John Mnyika unachemka na vi statement vyako vya facebook.
My God, what is wrong with some people?... I beg thee to get back to your senses... Medium of communication is not the subject of discussion in case your confused or they have asked you to defend them, you can't do it anyhow... I advise you to try other ways. By the way what is that other medium supposedly accessible to all Tanzania?...Wa-tz wangapi wana own radio? TV? au wanapata access ya print media... Tell me. Get it... issue kama ina special importance kwa jamii haijalishi media gani itatumika kuwafikishia ujumbe... mwisho wa siku ujumbe utafika tu... Kama utaki kufahamu digital media ni viral kuliko unavyofikiria.
 
mpaka pale ambapo wananchi tutawaonyesha kwa vitendo viongozi
wetu kwamba wanawajibika kwetu kila siku ndipo adhaa hii ya uzembe
wa viongozi itamalizika.

hii ya kusema kwamba inabidi tungoje mpaka siku ya uchaguzi ndio inatutesa.
inabidi sasa tutumie njia mbadala na za "halali" kuwapelekea ujumbe viongozi wetu.
 
Haya ni maelezo ya mjumbe wa kamati ya bunge ya nishati na madini;

"maelezo ya kwamba mgawo huu umesababishwa na mitambo ya IPTL kuzalisha MW 10 badala ya MW 100 kutokana na upungufu wa mafuta mazito(HFO) yanatosha kwa serikali kuwajibika kutokana na uzembe wenye kulitia hasara taifa kwa sababu suala hili lilikuwa likijulikana kwa miezi mingi bila hatua stahili kuchukuliwa.Aidha serikali ieleze ukweli kwamba waziri ngeleja alitoa kauli potofu bungeni tarehe 15 february na Rais kikwete alitoa ahadi hewa kupitia hotuba yake kwa taifa tarehe 1 april kuhusu ukodishaji wa mitambo ya Mw 260 kwa ajili ya umeme wa dharura kuanzia julai"

source:fb status ya john mnyika(M.P)

Dah.... kumbe hata JK anatumia vilivyo ile "april fools day" teh!
 
Mwanasiasa mmoja alituonya kuchagua CCM 'MAGAMBA' ni kuchagua maafa na bado maafa zaidi yanakuja!!
 
Leo asubuhi kwenye kipindi cha tuongee tbc wahandisi kutoka tanesco wameutangazia umma kuwa mgao utaendelea mpaka mwisho wa mwaka na ni mgao mkubwa kuanzia saa kumi na mbili mpaka saa ishirini nanne
 
Back
Top Bottom