Lazima upate hasira Mkuu, tatizo la umeme ni la miaka 19 sasa, ndiyo miaka 19 tangu 1992 lilipoanza rasmi na hadi leo hii hakuna ahueni yoyote ile ya kuondoa adha hii isiwepo tena.
mkuu una maanisha kabla ya 1992 hakukua na tatizo la umeme?
nilikua mdogo sana na nilikua porini,kwenye vibatari!