Bila shaka serikali imefanya jitihada kuhakikisha wananchi wake tunapata huduma ya umeme yenye uhakika!🫣🫣
Tumezika msamiati wa Mgao wa Umeme ila bado tunaendelea kutumia Misamiati ya Kuzima mitambo ili kufanya matengezo!
Miaka ya nyuma alilazimisha mitambo isizimwe ndiyo maana hapakuwa na mgao wa umeme!😂😂😂😂
Hongereni sana.
Tumezika msamiati wa Mgao wa Umeme ila bado tunaendelea kutumia Misamiati ya Kuzima mitambo ili kufanya matengezo!
Miaka ya nyuma alilazimisha mitambo isizimwe ndiyo maana hapakuwa na mgao wa umeme!😂😂😂😂
Hongereni sana.