nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,609
- 4,097
Alishasema umasikini uliopo nchini hajui hata sababu za kuwa masikini hazijui! Ni mchumi wa shahada hapo mlimani kikubwa ni mjeshi taaluma ambayo huitaji kuumiza kichwa zaidi ya kutekeleza tu lakini bado ameshindwa kutambua. Hitler hakuwa na shahada yoyote lakini ujerumani ilinawiri sana kipindi chake achilia mbali mauaji ya wayahudi ndiyo yanyomchafua. Lakini alijua wajibu wake kwa wajerumani.