Nyanjilinji
Senior Member
- Oct 23, 2016
- 147
- 137
SawaKiukweli huku mimi nilipo umeme wala hawakati na wakikata basi ndani ya dakika kumi unarudi.
SawaKiukweli huku mimi nilipo umeme wala hawakati na wakikata basi ndani ya dakika kumi unarudi.
Sisi sio wavumilivu bali hatujui haki wajibu wetu swala la umeme selekali inazingua mnoHuyu mama nchi ilishamshinda lakini hataki kuukubali ukweli.Ashukuru tu watanzania in wavumilivu sana.Ingekuwa nchi nyingine wasingekubali kuvulia haya mateso na wangekuwa wameshamtoa madarakani hata kwa nguvu
Mna bahati sana huko mlipo lakini kuna huku tulipo ratiba ndio hiyo masaa 16Kiukweli huku mimi nilipo umeme wala hawakati na wakikata basi ndani ya dakika kumi unarudi.
Mna bahati sana huko mlipo lakini kuna huku tulipo ratiba ndio hiyo masaa 16
Hapo tutakuwa hatugomi Nia yao tutumie generator wafanye biasharaTugome,tutumie solar na generator tuone,
Tunaotumia umeme wa zambia raha mustarehe..Kuna maeneo haukatiki Sanaa alafu Tanzania hii
Eneo gani mkuuKiukweli huku mimi nilipo umeme wala hawakati na wakikata basi ndani ya dakika kumi unarudi.
Sasa sibora wangekata buza.Buza haujawai kukatika
Kondoa vijijini huku,lakini leo naona ndio wametukomesha sasa au kwa sababu ya kombe la dunia,tangu saa 11 jioni wamekata mpaka mida hii naandika hakuna umeme.Eneo gani mkuu
PoleniKondoa vijijini huku,lakini leo naona ndio wametukomesha sasa au kwa sababu ya kombe la dunia,tangu saa 11 jioni wamekata mpaka mida hii naandika hakuna umeme.
...Unaishia Ostabei!...Kiukweli huku mimi nilipo umeme wala hawakati na wakikata basi ndani ya dakika kumi unarudi.
Maku wewe na wenzio wote mnaomchafua mwambaHatuwezi mkumbuka sababu yeye ndio chanzo cha yote aya