Mgao mkali wa umeme Tanzania

Huyu mama nchi ilishamshinda lakini hataki kuukubali ukweli.Ashukuru tu watanzania in wavumilivu sana.Ingekuwa nchi nyingine wasingekubali kuvulia haya mateso na wangekuwa wameshamtoa madarakani hata kwa nguvu
Sisi tuna tabia vumilivu**chini serikali *sikivu
 
Huyu mama nchi ilishamshinda lakini hataki kuukubali ukweli.Ashukuru tu watanzania in wavumilivu sana.Ingekuwa nchi nyingine wasingekubali kuvulia haya mateso na wangekuwa wameshamtoa madarakani hata kwa nguvu
Sio wavumilivu ni wajinga wasiojua haki zao za msingi.. haiwezekani mtu unakatwa kodi mpka tozo afu bado basic services kutoka serikarini uzipate kwa kuunga unga...
 

Similar Discussions

11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom