msaada wanajamii wiki hii naenda kwenye interview sasa naitaji mganga wa kunifanyia dawa kidogo si unajua lazima tuenzi mila nataka nivutie wale wajamaa wa interview nikitoka tu wawe wananiwaza waza 2 msaada jamani
Kwani mganga aliekusaidia ukapata vyeti na ukawa shortlisted keshafariki? Hana kaimu? Ongea na mkewe manake mganga akikosekana mkewe anaagua!
Kwani hivyo vyeti si vyake ua alighushi?
msaada wanajamii wiki hii naenda kwenye interview sasa naitaji mganga wa kunifanyia dawa kidogo si unajua lazima tuenzi mila nataka nivutie wale wajamaa wa interview nikitoka tu wawe wananiwaza waza 2 msaada jamani