Mganga Bingwa wa Jadi wa Kimasai, Atimba London-UK, Kupitia Mizimu, Abaini Mauaji ya Kinyama Yaliyofanywa Kwa Mwanamke wa Kimaisai Kumpora Shanga!

Kama huyo mganga kajua Hadi jina la mwanamke aliyeuaea atashindwaje KUJUA majina ya hao wazungunwalioua huyo Mana was kimasai .Wakijulikana investigation ianzie hapo
Huwezi institute a criminal case kwa facts toka kwa mganga, how will you prove beyond reasonable doubt!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Kipara Kipya, Neno lipi?
P

Hivi na ww Paskali watu tuna shida ya hela, badala ya kutupa muongozo tunazipataje unatuletea hadithi ya shanga! Acha hizo shanga huko UK, hizi zilizoko hapa nchini zinafaida gani ya maana tunazoweza kujivunia? Kwa taarifa yako hata hao wazungu wa sasa hizo shanga zipo tu lakini sio kitu cha maana kwa hivyo. Au ndio kuua soo kwa zile makala zako za economist, ambapo watu wanakuzingua kuwa ww ndio ulichoma utambi kwa jiwe, kwa hiyo hapa unazuga ili ionekane ww huwa unaleta habari za hilo jarida?
 
Ndugu Paskal bila shaka unabidi kutubu sana..mara zote umekua ukiandika na kuaminisha kua jarida la The Economist ni adui wetu watanzania na ukaenda mbali kua wapo watanzania wanaotumiwa na ili gazeti . Ulidiriki mpaka kumshtaki Kabendera kua na hujumu awamu ya tano mpaka mama yake akakosa huduma na kufa. Watu kama wewe kwetu tunaita ..OMUROGI AIKUROGA OMUSHANA EIYANGWE
 
Sitaki kuamini hicho kiliachoandika ndicho Ni sahihi.

Yaani wafanye uganga....kwa mwonekano huo ....mmmmm....wazungu waamini. Tumezoea kuona waganga na mavazi fulani hivii

Halafu mtu alililie shanga zake za ukoo hivi ziko tofauti eee...itabidi mtuonyeshe hizo shanga zikoje? Ziko tofauti na hizihizi zinazouzwa mitaani?

Halafu mbona wanasmile

Anyway stori nyingine Kama hadithi za alifu ulelaulela

Sent using Jamii Forums mobile app
dada bado upo Nanjilinji Siku hizi waganga wanagua na Jeans na Tshet
kinachofanya kazi siyo mavazi.
 
Mayalla.
Sasa itabidi mkubali tu, hao "The Economist" wakiandika jambo lolote kuhusu nchi yetu liwe baya au zuri msishangae, ndio utekelezaji wa majukumu yao, wanaangalia kile kilichopo juu ya meza yao kwa wakati husika, kumbe kule kujibaraguza kwako wakati ule unapinga zile makala za hao jamaa ulikuwa unajipendekeza tu kwa watawala, kwasababu shida yako ilikuwa unataka waandike zuri tu la Tanzania.

N.B. Hua unajinadi mkatoliki ila naona hapa unaamini mizimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia The Economist wanafikiria kumchukuwa yeye kwa wakati huu Kabendera yuko ndani!
 
Back
Top Bottom