Yeye Dr.Slaa yuko wapi,na nini msimamo wake?
Zipo taarifa kwamba lowassa amependekeza nafasi ya Dr.Slaa kama katibu mkuu wa chadema ijazwe na aliyekua mwenyekiti wa ccm mkoa wa singida comrade Mgana Msindai (pichani).Kama taarifa hizi ni za kweli,unadhani mzee msindai anao uwezo wa kuvivaa viatu vya slaa na vikamtosha???kama hapana unadhani ni nani anaefaa kumrithi Dr.slaa ambae hakuna dalili zinazoashiria kama atarejea ofisini mapema.
![]()
MGANA MSINDAI
Zipo taarifa kwamba lowassa amependekeza nafasi ya Dr.Slaa kama katibu mkuu wa chadema ijazwe na aliyekua mwenyekiti wa ccm mkoa wa singida comrade Mgana Msindai (pichani).Kama taarifa hizi ni za kweli,unadhani mzee msindai anao uwezo wa kuvivaa viatu vya slaa na vikamtosha???kama hapana unadhani ni nani anaefaa kumrithi Dr.slaa ambae hakuna dalili zinazoashiria kama atarejea ofisini mapema.
![]()
MGANA MSINDAI
Zipo taarifa kwamba lowassa amependekeza nafasi ya Dr.Slaa kama katibu mkuu wa chadema ijazwe na aliyekua mwenyekiti wa ccm mkoa wa singida comrade Mgana Msindai (pichani).Kama taarifa hizi ni za kweli,unadhani mzee msindai anao uwezo wa kuvivaa viatu vya slaa na vikamtosha???kama hapana unadhani ni nani anaefaa kumrithi Dr.slaa ambae hakuna dalili zinazoashiria kama atarejea ofisini mapema.
![]()
MGANA MSINDAI
unafikiri Prof. Lipumba aliposema mwaka huu kuna wagombea wawili wa CCM alikosea? mtaelewa tu maana akili zenu ndogo zinaelewa taratibu.
Zipo taarifa kwamba lowassa amependekeza nafasi ya Dr.Slaa kama katibu mkuu wa chadema ijazwe na aliyekua mwenyekiti wa ccm mkoa wa singida comrade Mgana Msindai (pichani).Kama taarifa hizi ni za kweli,unadhani mzee msindai anao uwezo wa kuvivaa viatu vya slaa na vikamtosha???kama hapana unadhani ni nani anaefaa kumrithi Dr.slaa ambae hakuna dalili zinazoashiria kama atarejea ofisini mapema.
![]()
MGANA MSINDAI
Sasa kama Lowasa naye ni mgombea wa CCM aliyeko Ukawa mbona huko CCM hamlali ni matusi,kejeli na kashfa kwa huyu mgombea wenu Lowasa aliyeko Ukawa? Kuwa na wagombe wawili ndio heri kwa chama kama vile mlivyoweka wagombea Ubunge kule Nanyamba Mtwara ambapo yule mwingine akaamua kutorudisha fomu ili kuwapunguzia kazi.
Mkubali tuu kuwa mwaka huu mmezidiwa ujanja tuu
Haaa haaa! haya tunashukuru nawe umeanzisha uzi mkuu!
Mnyika ndiyo wa kumudu nafasi hiyo