Mgana Msindai vs Wilbroad Slaa

Mgana Msindai vs Wilbroad Slaa

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.

Kwa siku kadhaa ndani ya mitandao ya kijamii wamachama wa chama cha mapinduzi (CCM) wamekuwa wakilitumia jina langu kwamba eti wamenishawishi kujiunga na chama chao na kuwa siku ya jumapili tarehe 23/08/2015 nitajiunga na chama chao, katika uzinduzi wa kampeni zao

WALIYOYAFANYA.

1. Ni kweli na dhahiri kwamba CCM wamenishawishi kwa fedha na vyeo ili nijiunge na chama chao.
2. Wamewatuma wazee wengi sana kuja kunishawishi akiwemo katibu mkuu wao, mkuu wa usalama wa taifa, wazee wa chama chao nk.

MASWALI YA KUJIULIZA.

1. Kwa nini CCM wananifuata wakati huu na sio wakati mwingine?
2. Je, mbona mwaka 1995 walinitusi sana nilipoamua kuhama CCM, hali kadhalika mwaka 2010?
3. Je, sio kwamba CCM maji ya shingo yamewafikia?
4. Je, kwa nini wananiahidi vyeo vikubwa na mapesa mengi wakati huu na sio wakati mwingine kama wao walitambua kwamba nilistahili kuyapata hayo miaka iliyopita?

TAHADHARI.

1. Kwa hatua hiyo ni kwamba CCM wanatambua kwamba wamepoteza mvuto kwa wananchi hivyo hatuna budi kuyatafuta mabadiliko nje ya CCM.
2. Sina mpango wala sifikirii kukihama chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chini ya mwavuli wa UKAWA.
3. Baada ya CCM kuyaona mafuriko ya ukawa sasa wamegundua kwamba kuelekea uzinduzi wa kampeni zao walitumie jina langu ili angalau wapate watu wengi kwa sababu wanaelewa fika kwamba wamepoteza mvuto (MSIDANGANYIKE).
4. Siwezi kuyasaliti matumaini ya watanzania kwa maslahi yangu binafsi.
5. Hilo ndio goli la mkono wanalolisubiri kwa miujiza (Yesu atakapokuja kwa mara ya pili).

MWISHO.

Nawatakia kila la kheri katika kuyatafuta mabadiliko nje ya CCM, daima tusife moyo tupo pamoja na tutashinda kwa nguvu ya umma.

Wenu katika ukombozi,
Dr. Wilbrod Slaa,
KATIBU MKUU, CHADEMA.

Mkuu je wasio na Chama,na Chama chako cha Awali wote hawajakufuata?
Ahsante kwa Taarifa Mkuu!
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.

Kwa siku kadhaa ndani ya mitandao ya kijamii wamachama wa chama cha mapinduzi (CCM) wamekuwa wakilitumia jina langu kwamba eti wamenishawishi kujiunga na chama chao na kuwa siku ya jumapili tarehe 23/08/2015 nitajiunga na chama chao, katika uzinduzi wa kampeni zao

WALIYOYAFANYA.

1. Ni kweli na dhahiri kwamba CCM wamenishawishi kwa fedha na vyeo ili nijiunge na chama chao.
2. Wamewatuma wazee wengi sana kuja kunishawishi akiwemo katibu mkuu wao, mkuu wa usalama wa taifa, wazee wa chama chao nk.

MASWALI YA KUJIULIZA.

1. Kwa nini CCM wananifuata wakati huu na sio wakati mwingine?
2. Je, mbona mwaka 1995 walinitusi sana nilipoamua kuhama CCM, hali kadhalika mwaka 2010?
3. Je, sio kwamba CCM maji ya shingo yamewafikia?
4. Je, kwa nini wananiahidi vyeo vikubwa na mapesa mengi wakati huu na sio wakati mwingine kama wao walitambua kwamba nilistahili kuyapata hayo miaka iliyopita?

TAHADHARI.

1. Kwa hatua hiyo ni kwamba CCM wanatambua kwamba wamepoteza mvuto kwa wananchi hivyo hatuna budi kuyatafuta mabadiliko nje ya CCM.
2. Sina mpango wala sifikirii kukihama chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chini ya mwavuli wa UKAWA.
3. Baada ya CCM kuyaona mafuriko ya ukawa sasa wamegundua kwamba kuelekea uzinduzi wa kampeni zao walitumie jina langu ili angalau wapate watu wengi kwa sababu wanaelewa fika kwamba wamepoteza mvuto (MSIDANGANYIKE).
4. Siwezi kuyasaliti matumaini ya watanzania kwa maslahi yangu binafsi.
5. Hilo ndio goli la mkono wanalolisubiri kwa miujiza (Yesu atakapokuja kwa mara ya pili).

MWISHO.

Nawatakia kila la kheri katika kuyatafuta mabadiliko nje ya CCM, daima tusife moyo tupo pamoja na tutashinda kwa nguvu ya umma.

Wenu katika ukombozi,
Dr. Wilbrod Slaa,
KATIBU MKUU, CHADEMA.

source ya taarifa yako pls
 
Yanga SC imeishinda Azam FC kwa penati 8 kwa 7, una habari?

Na kule England ktk Premier League, Man U 0 na Newcastle U 0!!
 
Hakuna nafasi ya Zumbe Msindai kukamata nafasi kubwa kama hiyo, haiwezi na hasa kwa CHADEMA, na wala hataiweza hata kama akipewa.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.

Kwa siku kadhaa ndani ya mitandao ya kijamii wamachama wa chama cha mapinduzi (CCM) wamekuwa wakilitumia jina langu kwamba eti wamenishawishi kujiunga na chama chao na kuwa siku ya jumapili tarehe 23/08/2015 nitajiunga na chama chao, katika uzinduzi wa kampeni zao

WALIYOYAFANYA.

1. Ni kweli na dhahiri kwamba CCM wamenishawishi kwa fedha na vyeo ili nijiunge na chama chao.
2. Wamewatuma wazee wengi sana kuja kunishawishi akiwemo katibu mkuu wao, mkuu wa usalama wa taifa, wazee wa chama chao nk.

MASWALI YA KUJIULIZA.

1. Kwa nini CCM wananifuata wakati huu na sio wakati mwingine?
2. Je, mbona mwaka 1995 walinitusi sana nilipoamua kuhama CCM, hali kadhalika mwaka 2010?
3. Je, sio kwamba CCM maji ya shingo yamewafikia?
4. Je, kwa nini wananiahidi vyeo vikubwa na mapesa mengi wakati huu na sio wakati mwingine kama wao walitambua kwamba nilistahili kuyapata hayo miaka iliyopita?

TAHADHARI.

1. Kwa hatua hiyo ni kwamba CCM wanatambua kwamba wamepoteza mvuto kwa wananchi hivyo hatuna budi kuyatafuta mabadiliko nje ya CCM.
2. Sina mpango wala sifikirii kukihama chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chini ya mwavuli wa UKAWA.
3. Baada ya CCM kuyaona mafuriko ya ukawa sasa wamegundua kwamba kuelekea uzinduzi wa kampeni zao walitumie jina langu ili angalau wapate watu wengi kwa sababu wanaelewa fika kwamba wamepoteza mvuto (MSIDANGANYIKE).
4. Siwezi kuyasaliti matumaini ya watanzania kwa maslahi yangu binafsi.
5. Hilo ndio goli la mkono wanalolisubiri kwa miujiza (Yesu atakapokuja kwa mara ya pili).

MWISHO.

Nawatakia kila la kheri katika kuyatafuta mabadiliko nje ya CCM, daima tusife moyo tupo pamoja na tutashinda kwa nguvu ya umma.

Wenu katika ukombozi,
Dr. Wilbrod Slaa,
KATIBU MKUU, CHADEMA.

Naona kuna kampeni za kumfanya Dr.Slaa aongee kwa lazima.

Mnamlisha maneno na kumtungia uongo mchana kweupe,ili mradi mmchokonoe aseme kwa faida yenu.

Dr Slaa sio wa kusombwa na mafuriko.!
 
Zipo taarifa kwamba lowassa amependekeza nafasi ya Dr.Slaa kama katibu mkuu wa chadema ijazwe na aliyekua mwenyekiti wa ccm mkoa wa singida comrade Mgana Msindai (pichani).Kama taarifa hizi ni za kweli,unadhani mzee msindai anao uwezo wa kuvivaa viatu vya slaa na vikamtosha???kama hapana unadhani ni nani anaefaa kumrithi Dr.slaa ambae hakuna dalili zinazoashiria kama atarejea ofisini mapema.

m.jpg


MGANA MSINDAI
hii tumbotele nyumbu kufuata malisho ndio unalinganisha na dr. slaa?
 
Zipo taarifa kwamba lowassa amependekeza nafasi ya Dr.Slaa kama katibu mkuu wa chadema ijazwe na aliyekua mwenyekiti wa ccm mkoa wa singida comrade Mgana Msindai (pichani).Kama taarifa hizi ni za kweli,unadhani mzee msindai anao uwezo wa kuvivaa viatu vya slaa na vikamtosha???kama hapana unadhani ni nani anaefaa kumrithi Dr.slaa ambae hakuna dalili zinazoashiria kama atarejea ofisini mapema.

m.jpg


MGANA MSINDAI

Subiri yatokee ndio tutasema vinginevyo ni uzushi tu
 
Pilipili iko Shamba we yakuwashia nini? Huyo Silaa kajiuzulu lini?
 
unafikiri Prof. Lipumba aliposema mwaka huu kuna wagombea wawili wa CCM alikosea? mtaelewa tu maana akili zenu ndogo zinaelewa taratibu.
 
na baada ya uchaguzi,washinde ukawa,wasishinde,mbowe itabidi ampishe lowasa katika nafasi ya uenyekiti

kwa nguvu alizonazo sasa ndani ya chadema hilo halina mjadala na hakuna anaeweza kumzuia tena ndani ya chadema,ameshaishika,anaweza kumfukuza hata mbowe now akiamua
 
Kwa CCM Ukawa Msindai anafaa sanaaa! Amepita bila kupingwa. Huyu Salum Mwalimu kwanza ni nani? Atamwambia nini Msindai au Mgeja? Hebu acheni wachukue chama alichonunua bosi wao. Nawasifu kwa kuigeuza ndani ya siku 24 Chadema kuwa CCM B.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.

Kwa siku kadhaa ndani ya mitandao ya kijamii wamachama wa chama cha mapinduzi (CCM) wamekuwa wakilitumia jina langu kwamba eti wamenishawishi kujiunga na chama chao na kuwa siku ya jumapili tarehe 23/08/2015 nitajiunga na chama chao, katika uzinduzi wa kampeni zao

WALIYOYAFANYA.

1. Ni kweli na dhahiri kwamba CCM wamenishawishi kwa fedha na vyeo ili nijiunge na chama chao.
2. Wamewatuma wazee wengi sana kuja kunishawishi akiwemo katibu mkuu wao, mkuu wa usalama wa taifa, wazee wa chama chao nk.

MASWALI YA KUJIULIZA.

1. Kwa nini CCM wananifuata wakati huu na sio wakati mwingine?
2. Je, mbona mwaka 1995 walinitusi sana nilipoamua kuhama CCM, hali kadhalika mwaka 2010?
3. Je, sio kwamba CCM maji ya shingo yamewafikia?
4. Je, kwa nini wananiahidi vyeo vikubwa na mapesa mengi wakati huu na sio wakati mwingine kama wao walitambua kwamba nilistahili kuyapata hayo miaka iliyopita?

TAHADHARI.

1. Kwa hatua hiyo ni kwamba CCM wanatambua kwamba wamepoteza mvuto kwa wananchi hivyo hatuna budi kuyatafuta mabadiliko nje ya CCM.
2. Sina mpango wala sifikirii kukihama chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chini ya mwavuli wa UKAWA.
3. Baada ya CCM kuyaona mafuriko ya ukawa sasa wamegundua kwamba kuelekea uzinduzi wa kampeni zao walitumie jina langu ili angalau wapate watu wengi kwa sababu wanaelewa fika kwamba wamepoteza mvuto (MSIDANGANYIKE).
4. Siwezi kuyasaliti matumaini ya watanzania kwa maslahi yangu binafsi.
5. Hilo ndio goli la mkono wanalolisubiri kwa miujiza (Yesu atakapokuja kwa mara ya pili).

MWISHO.

Nawatakia kila la kheri katika kuyatafuta mabadiliko nje ya CCM, daima tusife moyo tupo pamoja na tutashinda kwa nguvu ya umma.

Wenu katika ukombozi,
Dr. Wilbrod Slaa,
KATIBU MKUU, CHADEMA.
fake fake..hii sio lugha wala mtindo wa kuandika wa dr. slaa
 
Ningekua mimi huyu HAMIS MGEJA aliyekua mwenyekiti wa ccm shinyanga,angefaa angalau sema tatizo tundu lissu na wenzake watakubali?lakini hamis yuko vizuri kuliko mgana

DSC09764.JPG
 
He is too obese, hivyo kweli Chadema inaweza kumlisha na kulishibisha hilo joto kwa ruzuku ya chama
 
Back
Top Bottom