Mfungo wangu wa siku 40 bila ya kula chochote umekamilika

Unatupanga tu wew UL acha kula mchana na chai unakula jion mwili uka adapt sio ujala chochote kwa siku 40
 
Habari ndugu zangu,
Leo ninao furaha kubwa kwa sababu bwana ameniwezesha kufunga mungo wa siku arubaini bila kula chochote .
Tangu mwezi wa 11 tarehe 15 nilipoingia kwenye kifungo hicho hadi leo
Alafu mnatuchukuliaje humu Jf kutudanganya wale waliofunga na hawakutoboa uliona kilichotokea lkn frsh hongera ktk hilo
 
Habari ndugu zangu,
Leo ninao furaha kubwa kwa sababu bwana ameniwezesha kufunga mungo wa siku arubaini bila kula chochote .
Tangu mwezi wa 11 tarehe 15 nilipoingia kwenye kifungo hicho hadi leo
Hongera sana

Umekua hai? Ni kweli au ulikuwa unakula jioni?

Mbona yule mchungaji siku ya 21 tu akazima.
 
Hongera. Nielewavyo mimi, mfungo huwa ni siri ya mfungaji na Mungu wake, si matangazo.

Baada ya kumaliza kufunga ilitakiwa umshukuru Mungu kimoyomoyo kwa kukuwezesha kumaliza mfungo na si kulileta huku JF hapo lingekuwa la baraka zaidi.

Ni mtazamo wangu tu
Hajafunga ili asifiwe. Ametuambia ili tujifunze kwamba inawezekana kufunga 40 kavu.

Kufunga halafu ukatangaza kwa minajili ya sifa hiyo ndio inakataliwa.
 
Nakumbuka miaka ya nyuma nilikuwa mwana maombi kanisan hivyo mchungaji akatangaza siku tatu za maombi bila kula chochote.

tulipanda juu ya mlima mmoja uko huko mkoani arusha huo mlima ulitengwa kwa ajili ya maombi tu makanisa mbalimbali huenda huko kufunga na kuomba , weee nilitoboa siku tatu bila kula chochote ila sasa miguu yote iliisha nguvu siku tunarudi kutoka mlimani kulikuwa na miti ya maembe mle msituni wacha tuyafakamie kwa njaa 😂😂😂
Mlima wa Duluti au wa Kikatiti?
 
Nani alikupa maelekezo ya kufunga siku 40?
Unamzigo gani wewe wakukufanya ufunge siku 40?
 
Imani ndugu inaenda na viwango narudia sio kwa uweza wangu hata kidogo ila ni mungu tyu ilifika kipindi nikawa nimesahau ladha na nilijawaliwa uwezo wa kutokuvitamani ndani ya siku hizo 40
Yaan huli usiku wala mchana Kwa siku 40??.
Acha fix aisee
 
Habari ndugu zangu,
Leo ninao furaha kubwa kwa sababu bwana ameniwezesha kufunga mungo wa siku arubaini bila kula chochote .
Tangu mwezi wa 11 tarehe 15 nilipoingia kwenye kifungo hicho hadi leo

Mnakosea sana, kufunga jambo jema, tunataka sasa sikia ushuhuda, matokeo ya mfungo wako.
 
Wengi wanaishia 3, anayejitahidi sana ameishia 5 na... Hao wakina Ricardo Maria wa Morogoro wenyewe wamejitahidi sana mwisho siku 6-7 na wengi wao wamekufa na swaumu
 
Back
Top Bottom