Alafu mnatuchukuliaje humu Jf kutudanganya wale waliofunga na hawakutoboa uliona kilichotokea lkn frsh hongera ktk hiloHabari ndugu zangu,
Leo ninao furaha kubwa kwa sababu bwana ameniwezesha kufunga mungo wa siku arubaini bila kula chochote .
Tangu mwezi wa 11 tarehe 15 nilipoingia kwenye kifungo hicho hadi leo
Hongera sanaHabari ndugu zangu,
Leo ninao furaha kubwa kwa sababu bwana ameniwezesha kufunga mungo wa siku arubaini bila kula chochote .
Tangu mwezi wa 11 tarehe 15 nilipoingia kwenye kifungo hicho hadi leo
Hajafunga ili asifiwe. Ametuambia ili tujifunze kwamba inawezekana kufunga 40 kavu.Hongera. Nielewavyo mimi, mfungo huwa ni siri ya mfungaji na Mungu wake, si matangazo.
Baada ya kumaliza kufunga ilitakiwa umshukuru Mungu kimoyomoyo kwa kukuwezesha kumaliza mfungo na si kulileta huku JF hapo lingekuwa la baraka zaidi.
Ni mtazamo wangu tu
Umepata nini?Habari ndugu zangu,
Leo ninao furaha kubwa kwa sababu bwana ameniwezesha kufunga mungo wa siku arubaini bila kula chochote .
Tangu mwezi wa 11 tarehe 15 nilipoingia kwenye kifungo hicho hadi leo
Mlima wa Duluti au wa Kikatiti?Nakumbuka miaka ya nyuma nilikuwa mwana maombi kanisan hivyo mchungaji akatangaza siku tatu za maombi bila kula chochote.
tulipanda juu ya mlima mmoja uko huko mkoani arusha huo mlima ulitengwa kwa ajili ya maombi tu makanisa mbalimbali huenda huko kufunga na kuomba , weee nilitoboa siku tatu bila kula chochote ila sasa miguu yote iliisha nguvu siku tunarudi kutoka mlimani kulikuwa na miti ya maembe mle msituni wacha tuyafakamie kwa njaa 😂😂😂
Apate mke mwemaLengo la huo mfungo ni nini?
Kikatiti mkuuMlima wa Duluti au wa Kikatiti?
Uongooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo.Habari ndugu zangu,
Leo ninao furaha kubwa kwa sababu bwana ameniwezesha kufunga mungo wa siku arubaini bila kula chochote .
Tangu mwezi wa 11 tarehe 15 nilipoingia kwenye kifungo hicho hadi leo
Yaan huli usiku wala mchana Kwa siku 40??.Imani ndugu inaenda na viwango narudia sio kwa uweza wangu hata kidogo ila ni mungu tyu ilifika kipindi nikawa nimesahau ladha na nilijawaliwa uwezo wa kutokuvitamani ndani ya siku hizo 40
Habari ndugu zangu,
Leo ninao furaha kubwa kwa sababu bwana ameniwezesha kufunga mungo wa siku arubaini bila kula chochote .
Tangu mwezi wa 11 tarehe 15 nilipoingia kwenye kifungo hicho hadi leo