Mfumo wa PEPMIS, Utumishi mmekurupuka kuuleta

Kiranja wa jamii

JF-Expert Member
Jan 2, 2023
221
528
Kuanzia mwakani 2024 watumishi katika kada zote watatakiwa kuonyesha majukumu yao kwenye mfumo ambapo tathimini ya uwajibikaji wa kutekeleza majukumu hayo itafanyika kwa kutumia mfumo huo wa ki electroniki

Kwa mtazamo wa nje mfumo huo ni mzuri sana kwani baada ya tathimini kufanyika mtumishi asiporidhika na alama alizopewa mfumo unamruhusu kukata rufaa

Kwanini nasema wamekurupuka?

1. Semina elekezi kwa wasimamizi wa vituo ie, Wakuu wa shule, Mganga mkuu, Afisa kilimo nk sehemu nilipo mimi walifanyiwa kwa siku moja (Masaa matatu) ambapo walitakiwa pia na wao wakawaelekeze walioko chini yao

Tukumbuke kuwa kundi kubwa la watumishi hawana uwezo mzuri wa kumudu mifumo hii ya ki electronic. Wengi sana hizi simu janja wanaishia kusoma text kwenye watsap na kuangalia vituko vya kina Gigy money instagram

Category ya wasimamizi wa vituo ina vitu vingi ambavyo ni ngumu sana vya kufanya ambavyo ni vigumu sana mtu kuvimudu ndani ya muda mfupi wa masaa matatu hasa hasa kwa wale wasiomudu vizuri TEHAMA

Sasa hivi ukiwasikiliza wakuu wa shule, Afisa Elimu kata, Manesi, Waganga wafawadhi wa zahanati, vituo vya afya ni malalamiko ya chini chini kwamba hata hawaelewi cha kufanya

kumbuka hawa ndio wenye hatima ya kuamua performance ya mfanyakazi wanaye muongoza

2. Maeneo mengi hasa ya vijijini bado huduma za mtandao ni hafifu sana.

3. Mfumo wenyewe kuna wakati unakuwa chini kiasi cha kumkera mtumiaji
Hii itatumika kama utetezi kwa watumishi wengi

Nini kilitakiwa kifanyike

Kwanza kabisa naona utumishi walibuni mbinu ya kukwepa gharama kwani kwa eneo nililopo waliohudhuria hiyo semina elekezi hawakulipwa posho wala hapakuwa na chakula/chai

Inaonekana walikwepa gharama lakini gharama hizo hizo zimeenda kwa maofisa hao wanaozunguka kila wilaya kutoa mafunzo hayo ambayo ki ukweli hawana uhakika kama wanaopewa wanaelewa kwani hakuna session ya evaluation (nazungumzia eneo nililopo)

Kwa mtazamo wangu, haya mafunzo hasa hasa kwa wasimamizi wa vituo hayakutakiwa kuwa chini ya siku mbili (nazungumzia siku mbili za masaa rasmi ya kazi)

Unapoleta kitu kigeni hutakiwi kuogopa gharama. Ukiuangalia mfumo ulivyo una vitu vingi sana vya muhimu ambavyo hawa wasimamizi wa vituo ukiwahoji hawawezi kufafanua vinamaanisha nini

Wengi walichofanikiwa ni kuwahimiza watumishi wajisajili, kupewa role na IT pamoja na kujaza task na sub task kitu ambacho kwa kweli kwa watumishi wa chini hata wasio na ujuzi mkubwa wa mambo ya mifumo ni rahisi sana kwao

Ngazi hiyo wengi wamemaliza sasa kigugumizi kimebaki kwa wasimamizi wa vituo kuendelea na hatua zinazofuata kama ku set performance indicators, kuweka weight, dates, nk nk

Wakiulizwa "baada ya hatua hii tunafanyaje"? Hawana majibu kabisa kabisa hadi utaona huruma. Yaani jibu rahisi ni "subirini". Hii ni kuwaonea viongozi wetu huku vituoni!

Binafsi nawatetea kwasababu ya namna walivyokuwa trained kwa zimamoto kana kwamba na wao wameshiriki kuandaa huo mfumo. Shida inazidi kuwa kubwa zaidi kwasababu wao nao wanaogopa kuhoji au kuusema ukweli kwasababu ya nafasi zao. Huu nao ni udhaifu wa viongozi wengi wa kuteuliwa

Nashauri Utumishi waandae program maalum upya ambayo itakuwa na sessions za kujiridhisha kama walengwa wameelewa wanachotakiwa kwenda kufanya vituoni na kituoni watoke angalau watu wawili ili pawe na backup vinginevyo wataanza kutoa lawama na vitisho kumbe somo halikueleweka kwa kisingizio cha muda hautoshi

Jambo kubwa na muhimu kama hili halitakiwi kufanyika kwa mtindo wa zima moto, lipewe muda watu wajifunze, waelewe halafu ndipo waanze rasmi
 
Hiii nchi nyie hamuijui..
Ntawaambia siku moja...
Mind you we are heading 2025....🧐🧐🧐
 
Kuanzia mwakani 2024 watumishi katika kada zote watatakiwa kuonyesha majukumu yao kwenye mfumo ambapo tathimini ya uwajibikaji wa kutekeleza majukumu hayo itafanyika kwa kutumia mfumo huo wa ki electroniki

Kwa mtazamo wa nje mfumo huo ni mzuri sana kwani baada ya tathimini kufanyika mtumishi asiporidhika na alama alizopewa mfumo unamruhusu kukata rufaa

Kwanini nasema wamekurupuka?

1. Semina elekezi kwa wasimamizi wa vituo ie, Wakuu wa shule, Mganga mkuu, Afisa kilimo nk sehemu nilipo mimi walifanyiwa kwa siku moja (Masaa matatu) ambapo walitakiwa pia na wao wakawaelekeze walioko chini yao

Tukumbuke kuwa kundi kubwa la watumishi hawana uwezo mzuri wa kumudu mifumo hii ya ki electronic. Wengi sana hizi simu janja wanaishia kusoma text kwenye watsap na kuangalia vituko vya kina Gigy money instagram

Category ya wasimamizi wa vituo ina vitu vingi ambavyo ni ngumu sana vya kufanya ambavyo ni vigumu sana mtu kuvimudu ndani ya muda mfupi wa masaa matatu hasa hasa kwa wale wasiomudu vizuri TEHAMA

Sasa hivi ukiwasikiliza wakuu wa shule, Afisa Elimu kata, Manesi, Waganga wafawadhi wa zahanati, vituo vya afya ni malalamiko ya chini chini kwamba hata hawaelewi cha kufanya

kumbuka hawa ndio wenye hatima ya kuamua performance ya mfanyakazi wanaye muongoza

2. Maeneo mengi hasa ya vijijini bado huduma za mtandao ni hafifu sana.

3. Mfumo wenyewe kuna wakati unakuwa chini kiasi cha kumkera mtumiaji
Hii itatumika kama utetezi kwa watumishi wengi

Nini kilitakiwa kifanyike

Kwanza kabisa naona utumishi walibuni mbinu ya kukwepa gharama kwani kwa eneo nililopo waliohudhuria hiyo semina elekezi hawakulipwa posho wala hapakuwa na chakula/chai

Inaonekana walikwepa gharama lakini gharama hizo hizo zimeenda kwa maofisa hao wanaozunguka kila wilaya kutoa mafunzo hayo ambayo ki ukweli hawana uhakika kama wanaopewa wanaelewa kwani hakuna session ya evaluation (nazungumzia eneo nililopo)

Kwa mtazamo wangu, haya mafunzo hasa hasa kwa wasimamizi wa vituo hayakutakiwa kuwa chini ya siku mbili (nazungumzia siku mbili za masaa rasmi ya kazi)

Unapoleta kitu kigeni hutakiwi kuogopa gharama. Ukiuangalia mfumo ulivyo una vitu vingi sana vya muhimu ambavyo hawa wasimamizi wa vituo ukiwahoji hawawezi kufafanua vinamaanisha nini

Wengi walichofanikiwa ni kuwahimiza watumishi wajisajili, kupewa role na IT pamoja na kujaza task na sub task kitu ambacho kwa kweli kwa watumishi wa chini hata wasio na ujuzi mkubwa wa mambo ya mifumo ni rahisi sana kwao

Ngazi hiyo wengi wamemaliza sasa kigugumizi kimebaki kwa wasimamizi wa vituo kuendelea na hatua zinazofuata kama ku set performance indicators, kuweka weight, dates, nk nk

Wakiulizwa "baada ya hatua hii tunafanyaje"? Hawana majibu kabisa kabisa hadi utaona huruma. Yaani jibu rahisi ni "subirini". Hii ni kuwaonea viongozi wetu huku vituoni!

Binafsi nawatetea kwasababu ya namna walivyokuwa trained kwa zimamoto kana kwamba na wao wameshiriki kuandaa huo mfumo. Shida inazidi kuwa kubwa zaidi kwasababu wao nao wanaogopa kuhoji au kuusema ukweli kwasababu ya nafasi zao. Huu nao ni udhaifu wa viongozi wengi wa kuteuliwa

Nashauri Utumishi waandae program maalum upya ambayo itakuwa na sessions za kujiridhisha kama walengwa wameelewa wanachotakiwa kwenda kufanya vituoni na kituoni watoke angalau watu wawili ili pawe na backup vinginevyo wataanza kutoa lawama na vitisho kumbe somo halikueleweka kwa kisingizio cha muda hautoshi

Jambo kubwa na muhimu kama hili halitakiwi kufanyika kwa mtindo wa zima moto, lipewe muda watu wajifunze, waelewe halafu ndipo waanze rasmi
Kila Jambo linakuwa na nukta ya kuanzia.Naamini wamefanya tathmini ya kina na kuona kwamba sasa ni wakati sahihi kwenda hewani.Changamoto zilizojitokeza naamini wahusika watazifanyia kazi.

Tuwapongeze wenzetu kwa ubunifu wenye lengo la kuongeza ufanisi wa kushughulikia masuala ya kiutumishi kwa Watumishi wa Umma.

Nawasilisha,

Article.
 
Serikali ilipiga hesabu kama kishikwambi kilituma taarifa za sensa na ni kijiji lazima na ww mwalimu utatuma tu wanasahau mawakala wa sensa walikuwa wanaenda sehemu yenye mtandao ndo wanatuma
 
Kila Jambo linakuwa na nukta ya kuanzia.Naamini wamefanya tathmini ya kina na kuona kwamba sasa ni wakati sahihi kwenda hewani.Changamoto zilizojitokeza naamini wahusika watazifanyia kazi.

Tuwapongeze wenzetu kwa ubunifu wenye lengo la kuongeza ufanisi wa kushughulikia masuala ya kiutumishi kwa Watumishi wa Umma.

Nawasilisha,

Article.
Mwanzo ni mgumu. Nina imani kuwa baada ya muda kila kitu kitakuwa sawa. Waendelee kutoa walimu hasa kwa supervisors ili wasijetumia mfumo vibaya wakaumiza watumishi wa chini yao. Wanaweza jiona wao ndio wenye hatma yako.
 
Hata mfumo mpya wa bodi ya mkopo ulioanza mwaka huu, uliruhusu kutotuma hard copy ni mambo ya online , ulikuwa na changamoto nyingii mpaka wengine wanashindwa kuweka document muhimu
Lakini muda ulivyozidi kwenda mambo yalibadilika na umekuwa msaada sana kwa kurahisisha maisha
 
Kwani huu mfumo ni kwa ajili ya walimu? Usijishushie heshima ndugu.

Samahani ToD,ila walimu ndio wanaongoza kwa idadi kubwa ya watumishi wa umma na wengi wapo vijijini kwenye mazingira magumu pasipo posho,leo hii unamletea mfumo ilihali aliko hata mtandao hakuna licha ya kutumia kiswaswadu,unategemea hili suala lina unafuu kwa walimu wa mazingira hayo au ni mzigo juu ya mzigo.
 
Kuanzia mwakani 2024 watumishi katika kada zote watatakiwa kuonyesha majukumu yao kwenye mfumo ambapo tathimini ya uwajibikaji wa kutekeleza majukumu hayo itafanyika kwa kutumia mfumo huo wa ki electroniki

Kwa mtazamo wa nje mfumo huo ni mzuri sana kwani baada ya tathimini kufanyika mtumishi asiporidhika na alama alizopewa mfumo unamruhusu kukata rufaa

Kwanini nasema wamekurupuka?

1. Semina elekezi kwa wasimamizi wa vituo ie, Wakuu wa shule, Mganga mkuu, Afisa kilimo nk sehemu nilipo mimi walifanyiwa kwa siku moja (Masaa matatu) ambapo walitakiwa pia na wao wakawaelekeze walioko chini yao

Tukumbuke kuwa kundi kubwa la watumishi hawana uwezo mzuri wa kumudu mifumo hii ya ki electronic. Wengi sana hizi simu janja wanaishia kusoma text kwenye watsap na kuangalia vituko vya kina Gigy money instagram

Category ya wasimamizi wa vituo ina vitu vingi ambavyo ni ngumu sana vya kufanya ambavyo ni vigumu sana mtu kuvimudu ndani ya muda mfupi wa masaa matatu hasa hasa kwa wale wasiomudu vizuri TEHAMA

Sasa hivi ukiwasikiliza wakuu wa shule, Afisa Elimu kata, Manesi, Waganga wafawadhi wa zahanati, vituo vya afya ni malalamiko ya chini chini kwamba hata hawaelewi cha kufanya

kumbuka hawa ndio wenye hatima ya kuamua performance ya mfanyakazi wanaye muongoza

2. Maeneo mengi hasa ya vijijini bado huduma za mtandao ni hafifu sana.

3. Mfumo wenyewe kuna wakati unakuwa chini kiasi cha kumkera mtumiaji
Hii itatumika kama utetezi kwa watumishi wengi

Nini kilitakiwa kifanyike

Kwanza kabisa naona utumishi walibuni mbinu ya kukwepa gharama kwani kwa eneo nililopo waliohudhuria hiyo semina elekezi hawakulipwa posho wala hapakuwa na chakula/chai

Inaonekana walikwepa gharama lakini gharama hizo hizo zimeenda kwa maofisa hao wanaozunguka kila wilaya kutoa mafunzo hayo ambayo ki ukweli hawana uhakika kama wanaopewa wanaelewa kwani hakuna session ya evaluation (nazungumzia eneo nililopo)

Kwa mtazamo wangu, haya mafunzo hasa hasa kwa wasimamizi wa vituo hayakutakiwa kuwa chini ya siku mbili (nazungumzia siku mbili za masaa rasmi ya kazi)

Unapoleta kitu kigeni hutakiwi kuogopa gharama. Ukiuangalia mfumo ulivyo una vitu vingi sana vya muhimu ambavyo hawa wasimamizi wa vituo ukiwahoji hawawezi kufafanua vinamaanisha nini

Wengi walichofanikiwa ni kuwahimiza watumishi wajisajili, kupewa role na IT pamoja na kujaza task na sub task kitu ambacho kwa kweli kwa watumishi wa chini hata wasio na ujuzi mkubwa wa mambo ya mifumo ni rahisi sana kwao

Ngazi hiyo wengi wamemaliza sasa kigugumizi kimebaki kwa wasimamizi wa vituo kuendelea na hatua zinazofuata kama ku set performance indicators, kuweka weight, dates, nk nk

Wakiulizwa "baada ya hatua hii tunafanyaje"? Hawana majibu kabisa kabisa hadi utaona huruma. Yaani jibu rahisi ni "subirini". Hii ni kuwaonea viongozi wetu huku vituoni!

Binafsi nawatetea kwasababu ya namna walivyokuwa trained kwa zimamoto kana kwamba na wao wameshiriki kuandaa huo mfumo. Shida inazidi kuwa kubwa zaidi kwasababu wao nao wanaogopa kuhoji au kuusema ukweli kwasababu ya nafasi zao. Huu nao ni udhaifu wa viongozi wengi wa kuteuliwa

Nashauri Utumishi waandae program maalum upya ambayo itakuwa na sessions za kujiridhisha kama walengwa wameelewa wanachotakiwa kwenda kufanya vituoni na kituoni watoke angalau watu wawili ili pawe na backup vinginevyo wataanza kutoa lawama na vitisho kumbe somo halikueleweka kwa kisingizio cha muda hautoshi

Jambo kubwa na muhimu kama hili halitakiwi kufanyika kwa mtindo wa zima moto, lipewe muda watu wajifunze, waelewe halafu ndipo waanze rasmi
Kwani hiyo soda nyingine imekuja lini, PEPSI bado iko madukani na mdogo wake MIRINDA
 
Walimu tuna hali ngumu,huo mfumo wahuni wamepiga hela na soon utakufa kibudu
Mbona kila kitu walimu wana hali ngumu, ondoa hiyo kitu kwa ubongo wako. Huu ni mfumo kwa watumishi wote wa umma na umeonyesha mapungufu makubwa kama mleta mada alivyosema, hata kwa wahadhiri wa vyuo vikuu imekuwa ni changamoto sana. Msiwafanye walimu kuwa ni sehemu ya kutupia kila taka taka.
 
Kuanzia mwakani 2024 watumishi katika kada zote watatakiwa kuonyesha majukumu yao kwenye mfumo ambapo tathimini ya uwajibikaji wa kutekeleza majukumu hayo itafanyika kwa kutumia mfumo huo wa ki electroniki

Kwa mtazamo wa nje mfumo huo ni mzuri sana kwani baada ya tathimini kufanyika mtumishi asiporidhika na alama alizopewa mfumo unamruhusu kukata rufaa

Kwanini nasema wamekurupuka?

1. Semina elekezi kwa wasimamizi wa vituo ie, Wakuu wa shule, Mganga mkuu, Afisa kilimo nk sehemu nilipo mimi walifanyiwa kwa siku moja (Masaa matatu) ambapo walitakiwa pia na wao wakawaelekeze walioko chini yao

Tukumbuke kuwa kundi kubwa la watumishi hawana uwezo mzuri wa kumudu mifumo hii ya ki electronic. Wengi sana hizi simu janja wanaishia kusoma text kwenye watsap na kuangalia vituko vya kina Gigy money instagram

Category ya wasimamizi wa vituo ina vitu vingi ambavyo ni ngumu sana vya kufanya ambavyo ni vigumu sana mtu kuvimudu ndani ya muda mfupi wa masaa matatu hasa hasa kwa wale wasiomudu vizuri TEHAMA

Sasa hivi ukiwasikiliza wakuu wa shule, Afisa Elimu kata, Manesi, Waganga wafawadhi wa zahanati, vituo vya afya ni malalamiko ya chini chini kwamba hata hawaelewi cha kufanya

kumbuka hawa ndio wenye hatima ya kuamua performance ya mfanyakazi wanaye muongoza

2. Maeneo mengi hasa ya vijijini bado huduma za mtandao ni hafifu sana.

3. Mfumo wenyewe kuna wakati unakuwa chini kiasi cha kumkera mtumiaji
Hii itatumika kama utetezi kwa watumishi wengi

Nini kilitakiwa kifanyike

Kwanza kabisa naona utumishi walibuni mbinu ya kukwepa gharama kwani kwa eneo nililopo waliohudhuria hiyo semina elekezi hawakulipwa posho wala hapakuwa na chakula/chai

Inaonekana walikwepa gharama lakini gharama hizo hizo zimeenda kwa maofisa hao wanaozunguka kila wilaya kutoa mafunzo hayo ambayo ki ukweli hawana uhakika kama wanaopewa wanaelewa kwani hakuna session ya evaluation (nazungumzia eneo nililopo)

Kwa mtazamo wangu, haya mafunzo hasa hasa kwa wasimamizi wa vituo hayakutakiwa kuwa chini ya siku mbili (nazungumzia siku mbili za masaa rasmi ya kazi)

Unapoleta kitu kigeni hutakiwi kuogopa gharama. Ukiuangalia mfumo ulivyo una vitu vingi sana vya muhimu ambavyo hawa wasimamizi wa vituo ukiwahoji hawawezi kufafanua vinamaanisha nini

Wengi walichofanikiwa ni kuwahimiza watumishi wajisajili, kupewa role na IT pamoja na kujaza task na sub task kitu ambacho kwa kweli kwa watumishi wa chini hata wasio na ujuzi mkubwa wa mambo ya mifumo ni rahisi sana kwao

Ngazi hiyo wengi wamemaliza sasa kigugumizi kimebaki kwa wasimamizi wa vituo kuendelea na hatua zinazofuata kama ku set performance indicators, kuweka weight, dates, nk nk

Wakiulizwa "baada ya hatua hii tunafanyaje"? Hawana majibu kabisa kabisa hadi utaona huruma. Yaani jibu rahisi ni "subirini". Hii ni kuwaonea viongozi wetu huku vituoni!

Binafsi nawatetea kwasababu ya namna walivyokuwa trained kwa zimamoto kana kwamba na wao wameshiriki kuandaa huo mfumo. Shida inazidi kuwa kubwa zaidi kwasababu wao nao wanaogopa kuhoji au kuusema ukweli kwasababu ya nafasi zao. Huu nao ni udhaifu wa viongozi wengi wa kuteuliwa

Nashauri Utumishi waandae program maalum upya ambayo itakuwa na sessions za kujiridhisha kama walengwa wameelewa wanachotakiwa kwenda kufanya vituoni na kituoni watoke angalau watu wawili ili pawe na backup vinginevyo wataanza kutoa lawama na vitisho kumbe somo halikueleweka kwa kisingizio cha muda hautoshi

Jambo kubwa na muhimu kama hili halitakiwi kufanyika kwa mtindo wa zima moto, lipewe muda watu wajifunze, waelewe halafu ndipo waanze rasmi
Huu mfumo unawataka viongozi wawajibike lakini hao mabosi hamna kitu mimi nimejiunga ila sioni kitu maana ilitakiwa nishushiwe task na kiiongozi wangu ila sijui kama hata anajua unafafanaje
 
Back
Top Bottom