Mimi ni mojawapo ya mtumishi ambae nimeathiriwa na mfumo huu wa ESS katika upandishaji wa madaraja.
Nimejaribu kufatilia je, ni sehemu gani sijaenda sawa hata sioni ninaandaa azimio la kazi ninaandaa andalio la somo ninasaini log book. Ninaandaa zana za kufundishia, ninasaini class journal, nipo shuleni kila siku nina saini out and in
Na katika mfumo mpk mwezi wa 12 nilifikisha aslimia 100. Lkn nakuja kuangalia baada ya mfumo kufungwa nakuta nina 58% na kunifanya nisipandishwe daraja na hivyo kuathili maisha yangu kwa sehemu.
Cha kushangaza zaidi mpk shuleni kwangu nimepewa zawadi kwa kufaulisha wanafunzi kwa kuwa na A na B nyingi lkn wamegoma kunipandisha eti asilimia ni ndogo. Nimeumia sana.
USHAURI KWA WAHUSIKA
1. Nashauri kuwe na njia nyingine ya kutathimini utendaji wa kazi wa mwl km vile class journal. Attendances na mkuu wa shule pia kuliko kutegemea asilimia za kwenye mfumo tu. Kwani kwa kutegemea mfumo tu watu wanaweza kukaa nyumbani na kujaza tu na wakawa na asilimia nyingi lkn darasani ht hawaingii ( sisemi wote)
2. Mtazamo wangu huu mfumo wa asilimia ht hauna uhalisia sehemu nyingi mtu analipwa pesa anawajazia walimu wote na sio kila mwl kujaza je uhalisia uko wapi hapo. Huu mfumo ungebaki kwa ajili ya huduma nyingine na isiwe kingezo cha kupandisha walimu madaraja
Lbd ingebaki kuombea mikopo. Uhamisho na likizo tu.
Nina uhakika niliyeonewa sio mimi tu watumishi wengi wanalia kwa mfumo huu tunaomba mamlaka itazame kwa upya na itusaidie sisi tulioonewa.
Wako
Hata kesho nisiku
Nimejaribu kufatilia je, ni sehemu gani sijaenda sawa hata sioni ninaandaa azimio la kazi ninaandaa andalio la somo ninasaini log book. Ninaandaa zana za kufundishia, ninasaini class journal, nipo shuleni kila siku nina saini out and in
Na katika mfumo mpk mwezi wa 12 nilifikisha aslimia 100. Lkn nakuja kuangalia baada ya mfumo kufungwa nakuta nina 58% na kunifanya nisipandishwe daraja na hivyo kuathili maisha yangu kwa sehemu.
Cha kushangaza zaidi mpk shuleni kwangu nimepewa zawadi kwa kufaulisha wanafunzi kwa kuwa na A na B nyingi lkn wamegoma kunipandisha eti asilimia ni ndogo. Nimeumia sana.
USHAURI KWA WAHUSIKA
1. Nashauri kuwe na njia nyingine ya kutathimini utendaji wa kazi wa mwl km vile class journal. Attendances na mkuu wa shule pia kuliko kutegemea asilimia za kwenye mfumo tu. Kwani kwa kutegemea mfumo tu watu wanaweza kukaa nyumbani na kujaza tu na wakawa na asilimia nyingi lkn darasani ht hawaingii ( sisemi wote)
2. Mtazamo wangu huu mfumo wa asilimia ht hauna uhalisia sehemu nyingi mtu analipwa pesa anawajazia walimu wote na sio kila mwl kujaza je uhalisia uko wapi hapo. Huu mfumo ungebaki kwa ajili ya huduma nyingine na isiwe kingezo cha kupandisha walimu madaraja
Lbd ingebaki kuombea mikopo. Uhamisho na likizo tu.
Nina uhakika niliyeonewa sio mimi tu watumishi wengi wanalia kwa mfumo huu tunaomba mamlaka itazame kwa upya na itusaidie sisi tulioonewa.
Wako
Hata kesho nisiku