Ujuwe simba hakatizi kwenye kundi la nyumbu!!Mkuu wangi huu ni msiba mzito kwa watanzania tatizo hawa wanasiasa wa Tanzania wanafanya haya wanajua watu makini wa kuhoji haya hamna ni mwendo wa nyumbu tu.
Mie sioni kama.ukawa watashinda maana,anayebaki kugombea ccm msafi mara elfu ya edo na pia edo na washirika wake waanomfuata,ni kama sasa ndo wanakisafisha ccm,kwa sababu wpte waliokuwa wanayooshewa vidole wamepata kichaka kinaitwa Ukawa
Pesa si mchezo.
Mabadiliko yapi unayaoongelea hivi Lowassa na Sumaye kutaka kuwaongoza watanazania ni mabadiliko ningekuelewa kama ningeona sura ngeni hapo kinachofanyika ni mabadilisho.Ni upumbavu zaidi, kuogopa kufanya mabadiliko hasa pale unapoona kuna haja na kila sababu ya kufanya hivyo kwa sababu ya pride(kuogopa kula matapishi yako).
Kwa sababu walikuwa CCM. Hivi wewe ulitakaje? Wakate tawi walilokalia? meningitis, kama unaoga mtoni ukitaka kukauka, lazima kwanza utoke majini usogee kando ndio uanze kujikausha. Ni hayo tu ndugu yangu...kutoka kwao CCM si tu kunawapa sababu na uhuru wa mawazo pinzani, unawapa pia uwezo na uhalali wa uhuru huo.Walishindwaje kuwatumikia wananchi miaka 12 iliyopoita halafu waweze leo?
Inaitwa kuwa na msimamo, kama niliapa kutokula mavi, SITOKULA mavi kamwe! Kama uko tayari kuwa kigeugeu na kula mavi sababu ya eti mabadiliko yanayotegemewa kuletwa na hao hao wanaotaka kupinduliwa, huu ni UHAYAWANI wa level ya juu sana!
Niliiunga ukawa mkono kabla ya kuanza kuchukua makapi ya sisiemu, alipokuja Lwasa tu, NIKATAPIKA.
Mabadiliko yapi unayaoongelea hivi Lowassa na Sumaye kutaka kuwaongoza watanazania ni mabadiliko ningekuelewa kama ningeona sura ngeni hapo kinachofanyika ni mabadilisho.
huna lolote unafikiri ukawa bila watu kutoka ccm kuunga mkono juudi zao za miaka zaidi ya 20 wangeweza kushinda siasa ni watu sio misimamo kama ya al shababu
Mabadiliko yapi unayaoongelea hivi Lowassa na Sumaye kutaka kuwaongoza watanazania ni mabadiliko ningekuelewa kama ningeona sura ngeni hapo kinachofanyika ni mabadilisho.
Wanasiasa wanatufanya mabwege sana.
Sioni jipya zaidi ya uroho wa madaraka tu.Wale tuliowachukia na waliounda mfumo huu dhaifu na wa kimagumashi ndio hao leo wanaokuja kujidai wanasaidia mabadiliko.
Wale wale waliotupigia na kutuulia ndugu zetu leo hii wanajidai wanasaidia ukombozi.
Hii ni big joke yaani ni kama vile Netanyahu aungane na Abass ili kuwakomboa wapalestina.
Ndio maana watanzania waliukataa mfumo wa vyama vingi kwani wanasiasa wetu ni wasanii.
Ndio maana nchi ilikuwa inayumba kisa kuna vikundi ndani ya ccm venye uroho wa madaraka.
Dawa yao ni kuwatosa tu.
Wanasiasa wanatufanya mabwege sana.
Sioni jipya zaidi ya uroho wa madaraka tu.Wale tuliowachukia na waliounda mfumo huu dhaifu na wa kimagumashi ndio hao leo wanaokuja kujidai wanasaidia mabadiliko.
Wale wale waliotupigia na kutuulia ndugu zetu leo hii wanajidai wanasaidia ukombozi.
Hii ni big joke yaani ni kama vile Netanyahu aungane na Abass ili kuwakomboa wapalestina.
Ndio maana watanzania waliukataa mfumo wa vyama vingi kwani wanasiasa wetu ni wasanii.
Ndio maana nchi ilikuwa inayumba kisa kuna vikundi ndani ya ccm venye uroho wa madaraka.
Dawa yao ni kuwatosa tu.
Walishindwaje kuwatumikia wananchi miaka 12 iliyopoita halafu waweze leo?
Kwa sababu walikuwa CCM. Hivi wewe ulitakaje? Wakate tawi walilokalia? meningitis, kama unaoga mtoni ukitaka kukauka, lazima kwanza utoke majini usogee kando ndio uanze kujikausha. Ni hayo tu ndugu yangu...kutoka kwao CCM si tu kunawapa sababu na uhuru wa mawazo pinzani, unawapa pia uwezo na uhalali wa uhuru huo.