Mfumo ule ule unataka kurudi kupitia UKAWA!

Mfumo ule ule unataka kurudi kupitia UKAWA!

October itakapofika utatambua kwamba kumkarisha lowasa ni janga kwa UKAWA.Hakuna mtanzania mpu.mb.av kiasi hicho hata kama tumeitwa kichwa cha mwendawazimu,mtuapishe kwa viapo kwamba EL ni fisadi akiwa CCM halafu mje kutuamisha kwamba mfumo utamfanya awe msafi!!!

Amakweli kama ni shule basi bdugu yangu. Kama ni propaganda basi nenda shule ya makada huko Kigamboni ujaribu kurefresh ili uende na wakati. Tambua kwamba kwa vyovyote itakavyokuwa chama tawala kwa sasa kimepata kidonda ndugu. Na kitakawa kinauma pole pole kila hali ya hewa inavyobadiriki mpaka muuguaji anakufa. Ni ngumu kuikubari ila huo ndo ukweli. Wewe na mimi tuombe uzima ili huo mziki uje uucheze na ndugu yenu Diamond.
 
October itakapofika utatambua kwamba kumkarisha lowasa ni janga kwa UKAWA.Hakuna mtanzania mpu.mb.av kiasi hicho hata kama tumeitwa kichwa cha mwendawazimu,mtuapishe kwa viapo kwamba EL ni fisadi akiwa CCM halafu mje kutuamisha kwamba mfumo utamfanya awe msafi!!!

Issue hapa sio uchafu au usafi wa mtu yoyote, tunachotaka ni kuuondoa ccm na mfumo wake ulioshindwa. Ccm ambayo haitaki hata katiba inayoonyesha kumpa nafuu mwananchi wa kawaida!! No,
 
Amakweli kama ni shule basi bdugu yangu. Kama ni propaganda basi nenda shule ya makada huko Kigamboni ujaribu kurefresh ili uende na wakati. Tambua kwamba kwa vyovyote itakavyokuwa chama tawala kwa sasa kimepata kidonda ndugu. Na kitakawa kinauma pole pole kila hali ya hewa inavyobadiriki mpaka muuguaji anakufa. Ni ngumu kuikubari ila huo ndo ukweli. Wewe na mimi tuombe uzima ili huo mziki uje uucheze na ndugu yenu Diamond.

Tusuibiri hii mechi kati ya CCM A na CCM B tuone
 
Issue hapa sio uchafu au usafi wa mtu yoyote, tunachotaka ni kuuondoa ccm na mfumo wake ulioshindwa. Ccm ambayo haitaki hata katiba inayoonyesha kumpa nafuu mwananchi wa kawaida!! No,

Ni vichekesho kwa unayoyasema,sasa ni lini EL aliitetea katiba ya Warioba?Au anaanza kuiona ya maana akiwa ukawa?
 
Tusuibiri hii mechi kati ya CCM A na CCM B tuone

Amakweli kinawauma! Mfumo lazima ufe kabisa ndo tutaanza kujenga jamii yenye uadilifu. Huwezi kutawala nchi miaka 50 na bado watoto wanakaa chini mashuleni. Na bado unakauja na porojo eti kidumu...........Mimi ninafikiri wewe una matatizo ya kufikiri au wewe ndo wale wafaidika! Miaka 50 inatosha kabisa. Na hapa ni kati CCM na wataka mabadiliko. Mwl Nyerere alisema CCM siyo mama yake na watanzania wasipoyapata mabadiliko ndani ya ccm watayapata nje ya ccm. Na hapa ndiyo starting point! Upo hapo? Utaipata MKUU!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom