kimatire
JF-Expert Member
- Nov 27, 2008
- 371
- 93
Ni muda mrefu nimekuwa nikifuatilia Mfuko huu wa Utamaduni kama kweli unawafikia walengwa wa sekta ya Utamaduni.
Wale wanaoujua naomba wanimegee ni kwa kiasi gani unatufaa wadau.Binafsi nimepeleka maombi yangu mara tisa bila mafanikio,Kila nikiwatembelea pale kwenye ofisi zao marufuku kabisa kumwona huyo mwana mama Mtendaji,Na ukibahatika kuonana naye anainua pua kama unanuka vile,Na kutoa maelezo mengi yasiyofaa huku tukijua jinsi anvyojinufaisha na fedha hizo zinazotolewa na wafadhili na Wizara husika ,Habari,Utamaduni na Michezo.Sasa swali langu kwenu wadau na hata wizara husika mnajua kwamba kuna ufisadi wa kupindukia kwenye Mfuko huu wa Utamaduni Tanzania??Walionufaika aidha wanajuana na wahusika au ni ndugu marafiki au maswahiba wa kibiashara?
Wale wanaoujua naomba wanimegee ni kwa kiasi gani unatufaa wadau.Binafsi nimepeleka maombi yangu mara tisa bila mafanikio,Kila nikiwatembelea pale kwenye ofisi zao marufuku kabisa kumwona huyo mwana mama Mtendaji,Na ukibahatika kuonana naye anainua pua kama unanuka vile,Na kutoa maelezo mengi yasiyofaa huku tukijua jinsi anvyojinufaisha na fedha hizo zinazotolewa na wafadhili na Wizara husika ,Habari,Utamaduni na Michezo.Sasa swali langu kwenu wadau na hata wizara husika mnajua kwamba kuna ufisadi wa kupindukia kwenye Mfuko huu wa Utamaduni Tanzania??Walionufaika aidha wanajuana na wahusika au ni ndugu marafiki au maswahiba wa kibiashara?