Mfanyakazi wa ndani Mwizi, Namfanyaje?

Mfanyakazi wa ndani Mwizi, Namfanyaje?

Mwamba028

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
4,649
Reaction score
3,818
Habari zenu waungwana.
Kuna binti wa kazi hapa nyumbani ana tabia ya wizi, km wiki 2 zilizopita aliiba simu ya shemeji yenu ilokua haitumiki,baada ya kumbana sana na kumtisha kesho yake ndo akakubali na akaonyesha alipoificha.
Sasa jana waleti ya mdogo wangu wa kiume imepotea humu ndani na yy aliingia huko chumbani kumlaza mtoto, pia juzi elfu 20 ya bi mkubwa aliacha juu ya kabati imetoweka.
Sasa najiuliza nimfanyaje huyu binti aweze walau kutoa hyo waleti mana ina vitambulisho na leseni za dogo, huyu binti ana miaka 16.
Ushauri wenu tafadhali
 
Pole sana, sasa ina maana wewe hadi sasa hivi unaishi kwa bu mkubwa au? Cause history uliyoitoa ni kama inanipa picha flani kama hiyo asee, samahani lakini
 
ongea nae vizuri huyo mdada ili arudishe hiyo waleti, baada ya hapo rudisha kwao
 
Habari zenu waungwana.
Kuna binti wa kazi hapa nyumbani ana tabia ya wizi, km wiki 2 zilizopita aliiba simu ya shemeji yenu ilokua haitumiki,baada ya kumbana sana na kumtisha kesho yake ndo akakubali na akaonyesha alipoificha.
Sasa jana waleti ya mdogo wangu wa kiume imepotea humu ndani na yy aliingia huko chumbani kumlaza mtoto, pia juzi elfu 20 ya bi mkubwa aliacha juu ya kabati imetoweka.
Sasa najiuliza nimfanyaje huyu binti aweze walau kutoa hyo waleti mana ina vitambulisho na leseni za dogo, huyu binti ana miaka 16.
Ushauri wenu tafadhali

Ni msaidizi(house girl)
 
Kaa naye umueleze vizuri umuhimu wa yeye kuwa mtu mwema na bora saa nyingine ni ulimbukeni tu masikini anatamani kila kitu anachoona !!!!! Then muambie arudishe hivyo vitu na hutomuadhibu.................muoneshe upendo na kuwa with time naye atakuwa part ya familia vitu kama simu atapata ila unataka awe mtoto mwema!!!

Mchukulie kama mdogo wako aliyepotoka, at that age huyo alitakiwa kuwa shule so ni bahati mbaya sana kuwa hapo jitolee kumfunza japo hilo tu ili uwe umemsaidia maishani kwake!!!

Ni mtihani kwa kweli ila waambie nao wajue kuna mtu ana mkono so wakati unamrekebisha wawe wanatunza vitu vya thamani kwa uangalifu
 
Anaenda kufungwa yeye kwa child labour!!!!!
Yes,ndicho anachopaswa kuhukumiwa nacho huyo mwajiri-tusiogope hivi vyombo tuwapo na makosa-tuwe wazalendo.
16yrs ni mtoto,anahitaji kupendwa,kuletewa zawadi n.k...iwapo utamfanyisha kazi za kiutu uzima pasipo kumpa fursa zake kama mtoto lazima kuwepo na matatizo kama hayo.
 
ONYO
Usithubutu kumpiga wala kumpa mateso yoyote,JOYCE KIRIA atakufunga.
 
  • Thanks
Reactions: y-n
If you are her boss,you can hire and fire. What are you waiting for!?
 
Habari zenu waungwana.
Kuna binti wa kazi hapa nyumbani ana tabia ya wizi, km wiki 2 zilizopita aliiba simu ya shemeji yenu ilokua haitumiki,baada ya kumbana sana na kumtisha kesho yake ndo akakubali na akaonyesha alipoificha.
Sasa jana waleti ya mdogo wangu wa kiume imepotea humu ndani na yy aliingia huko chumbani kumlaza mtoto, pia juzi elfu 20 ya bi mkubwa aliacha juu ya kabati imetoweka.
Sasa najiuliza nimfanyaje huyu binti aweze walau kutoa hyo waleti mana ina vitambulisho na leseni za dogo, huyu binti ana miaka 16.
Ushauri wenu tafadhali


Muachie tuu, kwani hata wewe ni Mwizi Pia kama tulivyo Watz woote! Ni lini umelipa kodi ya Serikali? Je, unaishi kwa kipato chako halali kuanzia tarehe 01-31, kama jibu ni ndio basi mchukulie hatua, kama jibu ni SIYO basi huyo ni Mwizi mwenzako na unapaswa kuelewa tu anajaribu kuishi kama wewe pia...
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Ahsanteni kwa ushauri wakuu,,waleti imepatikana palepale alipoficha simu,na muda huu namsubiri aliemleta aje kumchukua, kuishi na watu tofauti kazi sana!
 
Muachie tuu, kwani hata wewe ni Mwizi Pia kama tulivyo Watz woote! Ni lini umelipa kodi ya Serikali? Je, unaishi kwa kipato chako halali kuanzia tarehe 01-31, kama jibu ni ndio basi mchukulie hatua, kama jibu ni SIYO basi huyo ni Mwizi mwenzako na unapaswa kuelewa tu anajaribu kuishi kama wewe pia...

Hahah,,ahsante kwa ushaur mkuu,,inaonekana ht ww ni mwiz mzoefu ndo mana umenunu lendi kruza mpya na kuja kutangaza hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom