haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 1,475
- 3,538
Leo alikuja ofisini kwangu, akaongea ongea ila nilihisi tu hayuko sawa, ghafla akanirukia akanikumbatia kwa sekunde kadhaa huku ameficha uso wake, baada ya muda aliniachia akaondoka kwenda ofisini kwake bila ya kuniambia chochote.
Kabla ya tukio hili Kuna siku tulikua tunaongea, kumbe alikua ananiangalia vidole vyangu vya mikono, ghafla akajikuta amenishika mkono af akashtuka, akatoa mkono.
Na mimi natulia kama sijui kinachoendelea, kesho nikifika namsalimia kama kawaida kama hakuna kilichotokea, kama yakimzidi atafunguka mwenyewe ila kwa hii mitego mitego hawezi nipata hata kidogo.
Kabla ya tukio hili Kuna siku tulikua tunaongea, kumbe alikua ananiangalia vidole vyangu vya mikono, ghafla akajikuta amenishika mkono af akashtuka, akatoa mkono.
Na mimi natulia kama sijui kinachoendelea, kesho nikifika namsalimia kama kawaida kama hakuna kilichotokea, kama yakimzidi atafunguka mwenyewe ila kwa hii mitego mitego hawezi nipata hata kidogo.