HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,450
- 6,211
- Thread starter
- #21
Wakiume tumechukua tayariWhen you advertise for such vacancies it is advisable to let it open and filter during interviews.
Wakiume tumechukua tayariWhen you advertise for such vacancies it is advisable to let it open and filter during interviews.
Ni wivu tu piga Simu utapewa maelezoMkuu hakuna kazi hapo. Magumashi tu yanaendelea.
Tangazo la kazi limekaa kikoromije mwanzo mwisho.
-Kaveli-
Ni wivu tu piga Simu utapewa maelezo
Piga upewe maelezo huu Uzi ni Wa wadadaiyo namba unatumaje cv sasa
Wanaume mnatokwa mapovu sana
Teh teh teh au mzee wa parallel uyu?Hahaha naona umesahau umeingia kwa Id nyingine.
-Kaveli-
mkuu acha kujipiga biti, umejimix ukaingia na id nyingine kwenye thread uliyoleta kwa id nyingine tofautiAcha kuchafua uzi wewe anzisha wako
Teh teh teh au mzee wa parallel uyu?
Huyo anatafuta demu tu.[emoji3]
Hivi wewe ndiye nilikubandua malindaHahaha mkuu fuatilia nyuzi zake huyu dalali, utagundua kuwa ni tapeli kanjanja.
Mara yupo North Korea kimasomo. Mara yupo Mwanza ana mzigo mkubwa wa dagaa so anatafuta wateja. Mara yupo jijini Dar ana mzigo mkubwa wa mpunga so anatafuta wateja. Mara biashara yake ni Pharmacy so anatafuta mdada mwenye nursing background. Etc.
-Kaveli-
Hivi wewe ndiye nilikubandua malinda
we jamaa ni jinga sana, kama kuna mdada atakutafuta nae atakuwa jinga vile vileHivi wewe ndiye nilikubandua malinda
Sasa unadandia nyuzi za watu za nini anzisha na weweBakia kwenye hoja ya msingi ya uzi wako. Matusi ya nini tena? Unazidi kuonesha ulivyo taahira.
-Kaveli-