Hata kama unakabiliwa na nini kujitoa uhai ni ushamba.Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi
Azizi Msuya (39), mkazi wa Sambarai, Moshi, amekutwa amefariki dunia nyumbani kwake Alhamisi, Oktoba 2, 2025, akidaiwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya katani.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limethibitisha tukio hilo na kueleza kuwa uchunguzi wa awali umehusisha msongo wa mawazo uliotokana na madeni aliyokuwa akikabiliana nayo.
Msuya alikuwa akijihusisha na biashara ya kusafirisha watalii. Uchunguzi zaidi unaendelea.View attachment 3482567
Kwa nini iwe ni ushamba?Hata kama unakabiliwa na nini kujitoa uhai ni ushamba.
Dunia ni ya matatizo,panda shuka,kitongo na mengine yote,kwanini uchague kuserereka kitonga pekee na usichague kukwea kitonga?Kwa nini iwe ni ushamba?
Kama kuna kuserereka na kukwea ujue kabisa vyote vipo ili vitumikeDunia ni ya matatizo,panda shuka,kitongo na mengine yote,kwanini uchague kuserereka kitonga pekee na usichague kukwea kitonga?
Je jukumu alilopewa kwenye maisha ya duniani kwanini alikimbie?Kama kuna kuserereka na kukwea ujue kabisa vyote vipo ili vitumike
Jukumu kapewa na nan? Lini na wapi?Je jukumu alilopewa kwenye maisha ya duniani kwanini alikimbie?
Lililokuwa sababu ya yeye kuja duniani na kujua nini maana ya maisha na maana ya uhai na kifo.Jukumu kapewa na nan? Lini na wapi?
Ni ubinafsiKwa nini iwe ni ushamba?
Kuna mda kujiua ni njia nzuri ya kutatua tatizo , watu walaumu mtu akishajiua ila wakishirikishwa matatizo wanakimbia hakuna msaadaNi ubinafsi
Hakuna sababu ya kuja duniani faida wala hasara hata usingekuja , maisha mtu anayapa thamani binafsi na maisha mtu anaweza yaondolea thamani binafsi pia.Lililokuwa sababu ya yeye kuja duniani na kujua nini maana ya maisha na maana ya uhai na kifo.
Kwa mujibu wa tafsiri yako binafsi na wale walioamuwa kuwa bagua wananchi wenzio!Hakuna sababu ya kuja duniani faida wala hasara hata usingekuja , maisha mtu anayapa thamani binafsi na maisha mtu anaweza yaondolea thamani binafsi pia.
Sio tafsiri yangu binafsi, majukumu yako sio majukumu yangu , kila mtu anayapa maisha thamani kwa jinsi anavyoona yeyeKwa mujibu wa tafsiri yako binafsi na wale walioamuwa kuwa bagua wananchi wenzio!
Hata alivyo jinyonga madeni yatalipwa tu hata kwa kuuza mali zake , msuya alichokwepa nikuonekana sio tajiri tena baada ya kuuza mali zake na kulipa madeni.Dawa ya madeni usiyaogope,kama wana uwezo acha wakunyonge wao ila sio kujinyonga wewe,bora niuze mali
Ndio hapo utagundua hakuna alichokwepa bora angeuza yeye akiwa hai na bado akabaki kuwa baba kwa watoto wake na mtoto kwa wazazi wake nkHata alivyo jinyonga mademu yatalipwa tu hata kwa kuuza mali zake , msuya alichokwepa nikuonekana sio tajiri tena baada ya kuuza mali zake na kulipa madeni.
Kakwepa aibu za kusengenywa kuwa amefilisika si unawajua wamatumbi kwa kufuatilia maisha ya watu tena?Ndio hapo utagundua hakuna alichokwepa bora angeuza yeye akiwa hai na bado akabaki kuwa baba kwa watoto wake na mtoto kwa wazazi wake nk
hawana pa kuyasemea..Wanaume mnabeba mengi mmh