Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi

Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi

Half american

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
45,030
Reaction score
111,617
Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi

Azizi Msuya (39), mkazi wa Sambarai, Moshi, amekutwa amefariki dunia nyumbani kwake Alhamisi, Oktoba 2, 2025, akidaiwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya katani.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limethibitisha tukio hilo na kueleza kuwa uchunguzi wa awali umehusisha msongo wa mawazo uliotokana na madeni aliyokuwa akikabiliana nayo.

Msuya alikuwa akijihusisha na biashara ya kusafirisha watalii. Uchunguzi zaidi unaendelea.
FB_IMG_17594634499789721.jpg
 
Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi

Azizi Msuya (39), mkazi wa Sambarai, Moshi, amekutwa amefariki dunia nyumbani kwake Alhamisi, Oktoba 2, 2025, akidaiwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya katani.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limethibitisha tukio hilo na kueleza kuwa uchunguzi wa awali umehusisha msongo wa mawazo uliotokana na madeni aliyokuwa akikabiliana nayo.

Msuya alikuwa akijihusisha na biashara ya kusafirisha watalii. Uchunguzi zaidi unaendelea.View attachment 3482567
Dah!
 
Account yake insta tuweke R.I.P zetu inatosha. Ila awamu hii mzunguko wa hela mtaani na kubiashara ni taiti isivyo kawaida, wengi wasipojipa ujasiri wa kuvuka inakuwa kama huyu
Siijui ac yake.
Nilichobaini wafanyabiashara wengi wa utalii pesa nyingi hawapigi kwenye utalii. Wengi wana magendo sana
 
Sana mkuu, usione mtu ana pesa na maisha mazuri mambo ni mengi, huyu mwamba nilikua namjua. Nawaza kwa nini asingeuza baadhi ya mali zake alipe madeni kama chanzo ni hicho.
Mkuu uko sahihi kabisa. Mambo yakizidi dawa yake ni kuuza baadhi ya vitu na kulipa madeni. Matajiri hawalali kisa madeni.... kuna baadhi utakuta ni kama wanawafanyia kazi mabenki maana wameshakabidhi hati zote za nyumba na ardhi pamoja na kadi za magari. Shida inakuja ni ile mtu anaogopa aibu watu kumsema amefilisika.
 
Back
Top Bottom