Mfanyabiashara kama huna assets taasisi za fedha hazikuthamini

kokudo

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
2,546
1,662
Leo nimekwenda bank moja kuulizia namna ya kupata mkopo wa biashara.

Vijana tujitahidi tujenge hizi taasisi za fedha hazina mpango wa wewe kama huna assets.

Yaani kumbe hata ukiwa una kiwanja tena kina hati miliki bado ni kazi bureeeee...

Tujitahidi tujenge maana hicho kiwanja kama hakina jengo ni sawa una runchi ya kufugia mifugo tu.

TANZANIA YETU BADO TUNA SAFARI NDEFU
 
Leo Nimekwenda BANK moja kuulizia namna ya kupata mkopo wa Biashara.


Vijana tujitahidi tujenge hizi Taasisi za fedha hazina mpango wa wewe Kama huna assets.


Yaani kumbe hata ukiwa una Kiwanja tena kina HATI MILIKI bado ni kazi bureeeee...

Tujitahidi tujenge maana hicho Kiwanja kama hakina jengo ni sawa una lunch ya kufugia mifugo tu.

TANZANIA YETU BADO TUNA SAFARI NDEFU
Isomeke RANCHI, sio LUNCH
 
Leo nimekwenda bank moja kuulizia namna ya kupata mkopo wa biashara.

Vijana tujitahidi tujenge hizi taasisi za fedha hazina mpango wa wewe kama huna assets.

Yaani kumbe hata ukiwa una kiwanja tena kina hati miliki bado ni kazi bureeeee...

Tujitahidi tujenge maana hicho kiwanja kama hakina jengo ni sawa una runchi ya kufugia mifugo tu.

TANZANIA YETU BADO TUNA SAFARI NDEFU
Vipi Kitambulisho cha mmachinga cha elfu 20 si wanatoa mkopo safi kabisa! Fanya hivo ndugu Rais kashasema
 
Leo nimekwenda bank moja kuulizia namna ya kupata mkopo wa biashara.

Vijana tujitahidi tujenge hizi taasisi za fedha hazina mpango wa wewe kama huna assets.

Yaani kumbe hata ukiwa una kiwanja tena kina hati miliki bado ni kazi bureeeee...

Tujitahidi tujenge maana hicho kiwanja kama hakina jengo ni sawa una runchi ya kufugia mifugo tu.

TANZANIA YETU BADO TUNA SAFARI NDEFU
Taasisi za fedha zinaangalia mzunguko wako wa pesa ( cash flow ). Unaiingiza kiasi gani mara kwa nara kwenye account yako na kutoa kiasi gani.

Hata ukiwa na nyumba unaweza usipewe mkopo wakiona huna uwezo wa kurejesha Kwasababu biashara ya bank siyo kuuza nyumba.

Jambo la msingi, tafuta bank/taasisi nzuri ya kifedha then wewe rasimisha biashara zako.

Ukimaliza JENGA MAHUSIANO na hiyo taasisi/bank.
 
Taasisi ambayo ni bora kwako katika biashara/ ujasiliamali ni personal saving basi.

Haijalishi umetumia muda gani katika saving. Mfano ukiingia website ya SIDO kunamaelezo mazuri sana kuhusu mikopo kwa vijana ila sasa nenda physically uwaambie nahitaji mkopo hizo terms utakazopewa automatically unakuwa umekosa mkopo.
 
Wanawajua wa Tz kwenye kulipa mkopo ni wagumu ndomana...hata mim ningekua bank sitoi pesa kiboya...wa Tz ni wahun sana ...akija kukopa mikono nyuma kurudisha Kifua mbele
Sawa Mkuu
 
Taasisi za fedha zinaangalia mzunguko wako wa pesa ( cash flow ). Unaiingiza kiasi gani mara kwa nara kwenye account yako na kutoa kiasi gani.

Hata ukiwa na nyumba unaweza usipewe mkopo wakiona huna uwezo wa kurejesha Kwasababu biashara ya bank siyo kuuza nyumba.

Jambo la msingi, tafuta bank/taasisi nzuri ya kifedha then wewe rasimisha biashara zako.

Ukimaliza JENGA MAHUSIANO na hiyo taasisi/bank.
samahani kiongozi, kurasimisha ndiyo nini na utaratibu wake upoje?
 
samahani kiongozi, kurasimisha ndiyo nini na utaratibu wake upoje?
Kurasimisha maana yake ni kuifanya biashara yako iwe rasmi. Kusajili BRELA, Kupata leseni na kuwa na hesabu za biashara yako zilizokaguliwa.
 
Back
Top Bottom