St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,638
- 4,522
Siku moja wakati bado nahangaika na ujana niliwahi kupitia sehemu ambapo mtu anaweza kununua huduma.Nilipokagua bidhaa zilizopo sokoni siku hiyo nikaridhika na moja iliyokuwa na miaka takriban 22,nikaulizia bei,kabla ya kupewa jibu nikaulizwa lakini hauna kubwa wewe?Nikashangaa he!Wewe mfanyabiashara gani unaogopa mteja?Na umejuaje kama nina kubwa au ndogo.Sasa swali langu kwa leo ni vitu gani katika maumbile ya binadamu vinavyoweza kuashiria size ya mtu awe X au Y.