MFANYABIASHARA ALIA NA POLISI ARUSHA KUKATAA KUFUNGUA KESI,ADAI KUDHULUMIWA MAGARI NA MDOGO WA MBUNGE

MFANYABIASHARA ALIA NA POLISI ARUSHA KUKATAA KUFUNGUA KESI,ADAI KUDHULUMIWA MAGARI NA MDOGO WA MBUNGE

Jembe Jembe

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2016
Posts
757
Reaction score
1,822
MWEKEZAJI wa sekta ya usafirishaji jijini Arusha ,Patrick Mulokozi amelalamikia Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kwa kushindwa kumpa ushirikiano kuweza kupata mali zake ambazo ni mabasi mawili aina ya Costa aliyokuwa amekodisha kwa kampuni ya usafirishaji ya Impala shato inayofanya biashara ya kusafirisha Abiria na mizigo kwenda nchi jirani ya Kenya.

‎Patrick ameendelea kupigwa danadana na jeshi la polisi Kwa zaidi ya mwaka mmoja katika kituo Cha polisi Cha kati (Cental Arusha) kunyimwa kufungua mashitaka dhidi ya msi wake.

Alisema alienda kutoa maelezo kituo hicho cha polisi lakini hakuna chochote kilichoendelea ikiwa nipamoja na upelelezi kufanyika na watuhumiwa wake kukamatwa.

‎Patrick naeleza kuwa kuna
‎baadhi ya maafisa wa polisi wa NGAZI za juu aliwaomba msaada kusaidia kupata Mali zake na Kila walipotaka ila walikimbama na kigingi kutoka kwa wakubwa zao wa ngazi za juu na kutakiwa kuachana na suala hilo

‎Patrick anamtuhumu mtu mmoja aliyemtaja kwa jina moja la EDMUND KOKA ambaye ni Mdogo Wake na Mbunge Wa Jimbo la Kibaha Mh Silvester Koka ambaye kaka yake huyo anatumia nafasi yake ya ubunge kuwapigia simu viongozi ili kumnyima haki yake ya msingi.


‎Patrick amemwomba Rais Dkt Samia Suluhu Hasan pamoja na Mkoa wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda kumsaidie kupata haki yake kwani hadi sasa hana msaada mwingine

‎Jitihada za kumpata EDMUND KOKA ili kujibu tuhuma hizo ikiwa ni pamoja na Kufika Ofisini hazikuzaa matunda mara baada ya kuwaona waandishi wa Habari alikataa kutoa ushirikiano wa kuzungukza chochote juu ya jambo hilo.

Kamanda wa polisi Mkoa wa Arusha Justine Masejo hakuweza kupatikana ofisini kwake kuzungumzia suala hilo na jitihada zaidi zinaendelea.


Ends..
 

Attachments

  • IMG-20250516-WA0011.jpg
    IMG-20250516-WA0011.jpg
    124.9 KB · Views: 21
  • IMG-20250516-WA0010.jpg
    IMG-20250516-WA0010.jpg
    126.5 KB · Views: 19
  • IMG-20250516-WA0009.jpg
    IMG-20250516-WA0009.jpg
    142.4 KB · Views: 20
  • IMG-20250516-WA0008.jpg
    IMG-20250516-WA0008.jpg
    116.4 KB · Views: 20
  • Screenshot_20250516_173839_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20250516_173839_WhatsApp.jpg
    133.7 KB · Views: 20
Hii ndio serikali ya CHURA. Mackini atapolwa hata kidogo chake.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Usiwaaamini sana Wahaya kwenye masuala ya Utapeli, maana wengi wao ndio kazi zao. Waweza kuta Mulokozi ndiye anataka kumpiga Koka ameemuuzia Mzigo anapiga dana dana kukabidhi au kubadili umiliki. Mpaka hapo Koka nampa 75 mulokozi 25 hata kabla sijaskia upande wa pili
 
MWEKEZAJI wa sekta ya usafirishaji jijini Arusha ,Patrick Mulokozi amelalamikia Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kwa kushindwa kumpa ushirikiano kuweza kupata mali zake ambazo ni mabasi mawili aina ya Costa aliyokuwa amekodisha kwa kampuni ya usafirishaji ya Impala shato inayofanya biashara ya kusafirisha Abiria na mizigo kwenda nchi jirani ya Kenya.

‎Patrick ameendelea kupigwa danadana na jeshi la polisi Kwa zaidi ya mwaka mmoja katika kituo Cha polisi Cha kati (Cental Arusha) kunyimwa kufungua mashitaka dhidi ya msi wake.

Alisema alienda kutoa maelezo kituo hicho cha polisi lakini hakuna chochote kilichoendelea ikiwa nipamoja na upelelezi kufanyika na watuhumiwa wake kukamatwa.

‎Patrick naeleza kuwa kuna
‎baadhi ya maafisa wa polisi wa NGAZI za juu aliwaomba msaada kusaidia kupata Mali zake na Kila walipotaka ila walikimbama na kigingi kutoka kwa wakubwa zao wa ngazi za juu na kutakiwa kuachana na suala hilo

‎Patrick anamtuhumu mtu mmoja aliyemtaja kwa jina moja la EDMUND KOKA ambaye ni Mdogo Wake na Mbunge Wa Jimbo la Kibaha Mh Silvester Koka ambaye kaka yake huyo anatumia nafasi yake ya ubunge kuwapigia simu viongozi ili kumnyima haki yake ya msingi.


‎Patrick amemwomba Rais Dkt Samia Suluhu Hasan pamoja na Mkoa wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda kumsaidie kupata haki yake kwani hadi sasa hana msaada mwingine

‎Jitihada za kumpata EDMUND KOKA ili kujibu tuhuma hizo ikiwa ni pamoja na Kufika Ofisini hazikuzaa matunda mara baada ya kuwaona waandishi wa Habari alikataa kutoa ushirikiano wa kuzungukza chochote juu ya jambo hilo.

Kamanda wa polisi Mkoa wa Arusha Justine Masejo hakuweza kupatikana ofisini kwake kuzungumzia suala hilo na jitihada zaidi zinaendelea.


Ends..
Kesi sio lazima ifunguliwe polisi bali anaweza kwenda kufungulia mahakamani moja kwa moja.
 
Mulokozi apotezee tu kwasababu pia yeye atakuwa ameshaiba na kudhulumu, pia huyo koka name atadhulumiwa tu, na atakayemdhulumu naye vile vile it's a cycle ni kutulia tu nakusonga mbele kwasababu kila mtu Tanzania ni mwizi na dhulumat.

Nyau de adriz
 
Kuwepo kwa mfumo kandamizi.
Ni Mafanikio mengine ya awamu ya sita.
 
Back
Top Bottom